Recent content by joseph2

  1. J

    JamiiForums Tanzania Lema, lengo lako kuhusu Heche ni nini hasa?

    Hivi Heche kama makamu mwenyekiti anahusikaje kwenye fedha za chama? Wakati katibu yupo ,mwanasheria wa chama yupo ,mweka hazina yupo na boardy ya washamini ipo. Kwahiyo hao wote amewaapitaje na akaenda kutowa hela kwwnye account ya chama kwa matumizi yake binafusi? Hivi mbona wnao sambaza...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Sijamwelewa Lema, anasema anasubiri maazimio ya Kamati Kuu, iwapo hayataeleweka atalazimika kujitetea binafsi

    Safu yote ya kamati kuu kipindi cha Mbowe ilikuwa ni wachaga na wote walisaliti. Kina mrema, wagapi wametuuza?
  3. J

    JamiiForums Tanzania Sijamwelewa Lema, anasema anasubiri maazimio ya Kamati Kuu, iwapo hayataeleweka atalazimika kujitetea binafsi

    Ni wachaga wachache sana wanaweza kufanya kazi ya kujitolea, bila kutegemea malipo. Especially wakiwa wanakaribia umri wa kustaff.
  4. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Asha-Rose Migiro: Sioni sababu watu kutoka nje waje watuamulie mambo yetu ya ndani. Tumepata kadhia ile, tukainuka, tumesimama imara

    Ujinga na upumbavu haundoki kwq kwenda shule peke yake. Mtu kama Rose Mgiro anakuwa mpumbavu wa kiwango hiki pamoja na elimu na exposure yote aliyo kuwa nayo. Kweli watanganyika tunahitaji revolutionary 7/7/2027
  5. J

    JamiiForums Tanzania Sababu za Jenerali Ulimwengu kuzinguana na Mkapa hadi kunyang'anywa uraia

    Ulevi wa madaraka ulianza zamani . Yaani raisi mzima unatumia uraisi taasisi kumkomowa mtu. Huo ni utahila wa viongozi wengi nchi yetu.
  6. J

    JamiiForums Tanzania Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Tunahitaji katiba mpya haiwezekani wananchi masikini wa jimbo lake wamlipo mshahara wa kujenga hotel kama hii huku wao wakiwa masikini wa kutupwa. Hata shule zao na hospital zote kwenye jimbo zima hazina thamani ya hii hoteli. Lukuvu maisha yake yote amekuwa serikalini huo mda wa kufanya...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Mahakama yataifisha mali za mtoto wa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu

    Tanzania mda si mrefu wataoto maccm watatuambia mali wanazo miliki walizipataje. Wasifikiri watanganyika hatujui kodi zetu zinapotelea wapi.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    Shida mna stress wote kwasababu ya kutaka mtoto. . Chakufanya mnatakiwa mtafute kitu mnacho furahiya kufanya kwa pamoja. Halafu focus kufurahishana na sio kutafuta mtoto. Kwanini statute mchepuka wa kuzaa naye ila usimwache mke wako ili angarau ujuwe tatizo liko upande gani. Hao wataalamu...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Tanzania imewekwa chini ya Uangalizi maalum/ Probation na Jumuiya ya Madola, kabla ya kuchukuliwa hatua zaidi

    Huu ni upuuzi ,Samia must go no negotiable.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini hamuutaki huu utawala wa Rais Samia? Nawauliza na mseme ukweli

    Sio kwamba hatuutaki utawala wa Samia. Watanzania tumechoka utawala wa kifisadi wa ccm na mifumo yake yote . Period.
  11. J

    JamiiForums Tanzania Kuwateua ndugu katikati ya sintofahamu kubwa hivi ni kuwapa watu sababu ya kuandamana

    Huyo malaya wa kizimkazi kaisha chaganyikiwa na wote anao wateuwa ni matahila.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Redcross kuvujisha video za kutisha mpaka tarehe 25

    Hakuna kinacho weza kufichwa na vilaza wa serikali ya ccm kisionekane.hata Hitler ambaye alikuwa na wanascience nguli alishindwa kuficha ,hao vilaza wasio juwa hata kudown load whatsap ndio fwafiche miili zaidi ya 20,000?,
  13. J

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 WARNING:⚠️Namna Serikali inavyowakamata Wanaotuma picha Za Mauaji Mtandaoni: Na jinsi unaweza kujilinda

    Mimi nashauri watu wasiogope watume tu kwa wingi ili hao wajinga serikali washindwe wamkamate nani. Watu wakituma kwa wingi hao wauwaji watashindwa ku fuwatilia maana wataona kuwa kutisha watu hakufanyi kazi tena. Mkiogopa kutuma ndio mnawapa nguvu za kuendelea kuwauweni na kuwangandamiza...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Unyama wa CCM na serikali yake

    Habari zenu ndugu zangu watanzania. Leo naomba tujadili unyama wa serikali ya ccm na washiriki wake. Tanzania ni nchi yenye majabu sana ila October 29, 2025 kuna upumbavu na ujinga ambao umeonekana wazi wazi kwenye macho ya dunia ambao ulikuwa haujawahi kushuhudiwa kwenye nchi yoyote hapa...
Back
Top Bottom