Recent content by joseph2

  1. J

    Mtumishi wa Umma anayedaiwa kuwa mwadilifu anapata wapi uwezo wa kujenga Hotel ya Namna hii?

    Tunahitaji katiba mpya haiwezekani wananchi masikini wa jimbo lake wamlipo mshahara wa kujenga hotel kama hii huku wao wakiwa masikini wa kutupwa. Hata shule zao na hospital zote kwenye jimbo zima hazina thamani ya hii hoteli. Lukuvu maisha yake yote amekuwa serikalini huo mda wa kufanya...
  2. J

    Mahakama yataifisha mali za mtoto wa Rais wa zamani wa Zambia, Edgar Lungu

    Tanzania mda si mrefu wataoto maccm watatuambia mali wanazo miliki walizipataje. Wasifikiri watanganyika hatujui kodi zetu zinapotelea wapi.
  3. J

    Nimeishi na mwanamke miaka mitatu bila kupata mtoto, nifanyaje

    Shida mna stress wote kwasababu ya kutaka mtoto. . Chakufanya mnatakiwa mtafute kitu mnacho furahiya kufanya kwa pamoja. Halafu focus kufurahishana na sio kutafuta mtoto. Kwanini statute mchepuka wa kuzaa naye ila usimwache mke wako ili angarau ujuwe tatizo liko upande gani. Hao wataalamu...
  4. J

    Kwanini hamuutaki huu utawala wa Rais Samia? Nawauliza na mseme ukweli

    Sio kwamba hatuutaki utawala wa Samia. Watanzania tumechoka utawala wa kifisadi wa ccm na mifumo yake yote . Period.
  5. J

    Kuwateua ndugu katikati ya sintofahamu kubwa hivi ni kuwapa watu sababu ya kuandamana

    Huyo malaya wa kizimkazi kaisha chaganyikiwa na wote anao wateuwa ni matahila.
  6. J

    Redcross kuvujisha video za kutisha mpaka tarehe 25

    Hakuna kinacho weza kufichwa na vilaza wa serikali ya ccm kisionekane.hata Hitler ambaye alikuwa na wanascience nguli alishindwa kuficha ,hao vilaza wasio juwa hata kudown load whatsap ndio fwafiche miili zaidi ya 20,000?,
  7. J

    PostGE2025 WARNING:⚠️Namna Serikali inavyowakamata Wanaotuma picha Za Mauaji Mtandaoni: Na jinsi unaweza kujilinda

    Mimi nashauri watu wasiogope watume tu kwa wingi ili hao wajinga serikali washindwe wamkamate nani. Watu wakituma kwa wingi hao wauwaji watashindwa ku fuwatilia maana wataona kuwa kutisha watu hakufanyi kazi tena. Mkiogopa kutuma ndio mnawapa nguvu za kuendelea kuwauweni na kuwangandamiza...
  8. J

    Unyama wa CCM na serikali yake

    Habari zenu ndugu zangu watanzania. Leo naomba tujadili unyama wa serikali ya ccm na washiriki wake. Tanzania ni nchi yenye majabu sana ila October 29, 2025 kuna upumbavu na ujinga ambao umeonekana wazi wazi kwenye macho ya dunia ambao ulikuwa haujawahi kushuhudiwa kwenye nchi yoyote hapa...
  9. J

    Lema kama unasema serikali ndio watekaji na wauaji mbona wamwomba Mama akulinde. Mama si ndiye mtekaji wenu mlisema. Nyenyenye!

    Hii inaonyesha kiwango cha ujinga wako. Hivi huna hata akili ya kujuwa maana ya serikali? Yaani akili yako inakwambia serikali ni Samia? Kweli Tanzania imejaaa wajinga.
  10. J

    Ni nani mnufaika wa machafuko iwapo yatatokea?

    Mtaka machafuko ni ccm na serikali yake. Huwezi kuwa unateka watu na kuwapoteza halafu utegemee watu wakaye kimya huku wakiwa wanapotea mmoja mmoja!
  11. J

    GE2025 Kuna kila dalili naziona kuwa mageuzi ya hili Taifa yataanzia kwa mwanamke

    Wanaume wa Tanzania hata mimi nikiwemo tunapaswa kuvaa gauni na wanawake wa van suruali. Haiwezekani taifa lenye wanaume kamili likatawaliwa na ccm kwa miaka 60. Kwenye hali ya kifukara kwa kiwango hiki.
  12. J

    Bagamoyo: Watu wawili wafariki kwa mlipuko wa bomu, mmoja ajeruhiwa

    Inabidi mambo hayo yafanyika kwenye sehemu za ccm na policcm ili heshima irudi pahala pake.
  13. J

    GE2025 Machifu Morongoro wafanya tambiko kumuombea mgombea urais kupitia CCM Samia Suluhu

    Hata wanya barabarani nao wataungana kumnyea lakini kamwe hatakubalika . Ataishia kujitangaza kuwa mshindi ila watanzania wote wamemkataq kwa asilimia 98.
Back
Top Bottom