Recent content by Joseph mwakabelele

  1. Joseph mwakabelele

    Kozi ya Educational Technology inahusiana na nini hasa?

    Oooh kumbe. Je, kati ya hii koz na diploma in primary education (science and mathematics, teaching lang ni english ipi ni nzuri???
  2. Joseph mwakabelele

    Kozi ya Educational Technology inahusiana na nini hasa?

    Jamani mi nauliza hivi kozi ya Educational Technology inahusiana na nini hasa? Na mtu akisoma hii kozi anakuwa nani au fursa zake zinapatikanaje?
  3. Joseph mwakabelele

    Niiliapply vyuo mwaka huu na nimechaguliwa diploma katika vyuo vifuatavyo

    Mkopo niliomba lakini vigezo vyao wanataka aliyemaliza form four au six iwe ni 2020-2024. Mm form four ninemaliza 2016, na six nikamaliza 2019
  4. Joseph mwakabelele

    Niiliapply vyuo mwaka huu na nimechaguliwa diploma katika vyuo vifuatavyo

    Ndugu zangu, mimi ni kijana ninayetamani kusoma lakini hali ya kiuchumi sio shwari. Niiliapply vyuo mwaka huu na nimechaguliwa diploma katika vyuo vifuatavyo. Ninaombeni ufadhili nikasome, pia nikasome kozi gani kati ya hizi. 1. Medical laboratory science. Lugarawa na Rucu 2. Petroleum...
  5. Joseph mwakabelele

    Niende kusoma digrii au diploma?

    Yeah. Dentistry baadaye anaweza kusoma MD. Government hukupata? Hiyo dentistry? Walikuwa wanachukua watu waliomaliza 2018-2024
  6. Joseph mwakabelele

    Niende kusoma digrii au diploma?

    Clinical dentistry ina future ila sema chuo ulichopata sio kizuri. Kama unajiweza kifedha kapige shule, ila mwakani ufanye mpango wa kuhama. Pia kwa kozi hiyo diploma unapata mkopo.
  7. Joseph mwakabelele

    Kambi Gani ya JKT Inamafunzo Magumu?

    Mnanitisha mimi wa bulombora sasa duh
  8. Joseph mwakabelele

    Eti ukimaliza form six kipi bora kuenda jeshi au chuo kikuu? Wapi kuna posho

    Eti ukimaliza form six kipi bora kuenda jeshi au kuenda chuo kikuu?
Back
Top Bottom