Recent content by Joseph Mg Lucas

  1. J

    Aliyekuwa mfadhili wa CHADEMA Musoma mjini atimkia ACT-Wazalendo

    huyo mchumia tumbo hajawahi kushiriki kazi yoyote ya chama wala kuisaidia chadema hata senti tano
  2. J

    Aliyekuwa mfadhili wa CHADEMA Musoma mjini atimkia ACT-Wazalendo

    hivi tangu lini Eliud Tongora alikuwa mfadhili wa chadema? habari nyingine ambayo imetia fola ni hii,Tongora hajawahi kutoa hata senti tano ndani ya chama wala kufanya mikutano au kushiriki shughuli za kujenga chama.
  3. J

    Kwa mahesabu haya, UKAWA mtatandikwa vibaya na CCM

    tumia akili CDM wanaopiga kura ni wajumbe tu,ambao ni viongozi wa kata mwenyekiti na katibu wake wa kata
  4. J

    Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

    CCM mnaweweseka kutengeneza akaunti feki jina lenyewe mmeshindwa kuandika "Willibrord"?maajabu ya karne
  5. J

    Eliud Tongora kuipeleka CHADEMA Mahakamani

    nipe ripoti hiyo kesi umeshinda?njaa ni mbaya sana itakumaliza
  6. J

    Njama za kuhujumu upinzani zabainika

    FISIEM imeamua kutumia mbinu mbovu,CHADEMA ni chama makini kisichoteteleka kwa mamluki
  7. J

    Vincent Nyerere: Mbunge wa 'hovyo' kuwahi kutokea Musoma mjini

    hilo ni gamba lisikusumbue kichwa limekula sana nyoka wa kichina mpaka mawazo yake yamekaa kinyoka nyoka
  8. J

    Picha: Kwa mwendo huu Vincent Nyerere anaifuta CCM Musoma Mjini

    ukimsikia Mbowe jasho linakutoka kuanzia kichwani mpaka kwenye makalio
  9. J

    CCM yakusanya fisi ili kuboresha mahudhurio

    huo ni uchawi wa mchana mchana
  10. J

    CCM wapata aibu ya mwaka Musoma Mjini

    ccm ni wepesi kuliko hata pamba
Back
Top Bottom