Recent content by Joseph Chiwango

  1. Joseph Chiwango

    Msaada wa utaratibu wa kusajiliwa kama Insurance Broker

    Mimi sina ujuzi wowote wa bima na ninakampuni ya shughuli nyingine tofauti na bima, isipokuwa nimeona nafasi kwenye shughuli zangu hizi nawezakupata ma kazi nyingine za kukatia bima. Tafadhari naomba msaada nawezakufanya nini au nawezapata usaidizi gani kukamilisha hili kwa haraka. Asante
  2. Joseph Chiwango

    Naomba kujua utaratibu wa kufuatwa ili kuongeza director katika kampuni ambayo imeshasajiriwa

    Kampuni ilisajiriwa mwaka jana mwezi wa tatu na ina wakurugenzi wawili sasa hivi inahitaji kuongeza mkurugenzi mwingine utaratibu ukoje?
  3. Joseph Chiwango

    Biashara ya Kusafirisha Mazao Nje ya Nchi: Jifunze Utaratibu wa Kufuata, Changamoto, Faida na Uzoefu wa Wengine

    Acha ujuaji chief. We unajuaje hana hiyo biashara ya ndani? Siku nyingine kama huna ushauri vunga.
  4. Joseph Chiwango

    Wanafunzi vyuoni: Msikae kusuburi boom/pocket money, fanya hizi biashara

    Kiongozi umesema rimu inakaratasi 500 inauzwa 10k ukiprint kwa 100 unapata faida 40k. Vp wino wenyewe unatolewa bure?
  5. Joseph Chiwango

    Business Plans and Project propasals for Prospective ventures

    Call: 0782888768, 0712698867 to join Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Joseph Chiwango

    Business Plans and Project propasals for Prospective ventures

    Register now -Utafundishwa kuandika -Utasaidiwa kuandika (Technical sapport) -Utafundishwa kutafuta miradi
  7. Joseph Chiwango

    Business Plans and Project propasals for Prospective ventures

    Tutakuandikia na kukushauri kitaalamu. GMAC and Fortune Compant Limited inawataalamu wa kiuandishi wakutosha karibu sana.
  8. Joseph Chiwango

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Naomba muongozo wanajanvi ukiwa na certificate of incorporation ili kupata TIN unatakiwa kuwa na viambatanishi gani na utaratibu upi unafuatwa?
  9. Joseph Chiwango

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Kwa kampuni ambayo ilisajiliwa nje ya mfumo wa kusajiri online (yaani before Feb 2018). Kwa njia ya mtandao leo nawezaje kuiupdate?
  10. Joseph Chiwango

    Msaada namna ya kumpata mkuu wa mkoa

    Wanajamvi hii sio utani naomba msaada kwa mtu anayejua njia (Protocally) rahisi ya kumpata mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mh. Paul. Nnawazo nadhani yeye anaweza zaidia kupush. Usilitazame hili kama utani.
  11. Joseph Chiwango

    Msaada kuhusu Alliexpress

    Habari wanajamvi, naomba mwenye uelewa wa kununua kupitia Alliexpress naomba msaafa plx. Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Joseph Chiwango

    Msaada wa kutengenezewa box packaging

    Naomba msaada wa wapi, nani? Wanaweza nsaidia kuntengenezea
  13. Joseph Chiwango

    Taratibu za kufungua na kusajili kampuni ya Mikopo

    Ndugu wanajamvi, naomba mwenye ujuzi anisaidie taratibu au hatua za kusajiri kampuni ya Mikopo na gharama kama ikiwezekana. Asante
  14. Joseph Chiwango

    Tabata inaanza kuwa kama Posta, kama huna kiwanja huku wahi haraka!

    hahahaha hizo hoteli za ghorofa tatu mwembechai na hata magomeni maknya zimejaa pilikichi
Back
Top Bottom