Mimi sina ujuzi wowote wa bima na ninakampuni ya shughuli nyingine tofauti na bima, isipokuwa nimeona nafasi kwenye shughuli zangu hizi nawezakupata ma kazi nyingine za kukatia bima. Tafadhari naomba msaada nawezakufanya nini au nawezapata usaidizi gani kukamilisha hili kwa haraka. Asante
Wanajamvi hii sio utani naomba msaada kwa mtu anayejua njia (Protocally) rahisi ya kumpata mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Mh. Paul. Nnawazo nadhani yeye anaweza zaidia kupush.
Usilitazame hili kama utani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.