Joseph Chiwango Member Aug 12, 2013 24 5 Apr 6, 2021 #1 Kampuni ilisajiriwa mwaka jana mwezi wa tatu na ina wakurugenzi wawili sasa hivi inahitaji kuongeza mkurugenzi mwingine utaratibu ukoje?
Kampuni ilisajiriwa mwaka jana mwezi wa tatu na ina wakurugenzi wawili sasa hivi inahitaji kuongeza mkurugenzi mwingine utaratibu ukoje?
Singo JF-Expert Member Oct 4, 2010 1,184 1,105 Apr 6, 2021 #2 Unajaza form ya appointment of director(form 210a) itaambatana na company resolution,filling fee itakuwa 22,000 ors itakuletea
Unajaza form ya appointment of director(form 210a) itaambatana na company resolution,filling fee itakuwa 22,000 ors itakuletea