Kwa Sheria za Tanzania hakuna haki ya Raia kuuwawa tena asiye na hatia eti kwa sababu tu ana interest na chama kingne, na upinzani sio Uadui kama inavyotazamwa kwasasa kwahiyo usihalalishe mauaji ya watu tena kwasababu nyepesi kama hiyo
Kulingana namazingira yako yakaz naupeo wako wabiashara hii ndo biashara sahihi ambayo haitakutesa ninaiamin asilimia 100% kama sio mpunga nunua mahindi weka stoo hiyo pesa kama isipojidouble itaongezeka zaidi ya asilimia Sabin, nalogic ni ndogo tu saiv mahind bado yan 7000.
Nunua mifuko...
Kazi ipo kwastyle hii walim tusitafute mchawi wetu tunajiloga wenyewe ama alietuloga ameshakufa ktambo wengne wanalilia muda sisi tunaona muda upo mwingi mpaka wakupoteza!!! Duuu hapa kaz ipo mimi pia ni mwalim lakn hili siliungi mkono labda kama kunamajukum yakuinua taaluma tunaenda kufanya...
Kuna mifuko yakinga njaa hiyo ndio kazi yake kwamaeneo mengi inapatkana kwabei ya 5000 itafte hyo inahfadhi kias had debe sita ipo iliyoandikwa PICS na ina nyron mbili kwa ndani hiyo ni. Mizur zaid kama utahtaj ming ni pm tuyajenge
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii nibonge ya business mm nakusanya mahind muda wa mavuno kwabei ya 5-8 kwa wakulima ndani ya miez minne bei inaanzia 14 faida asilimia 100, nikichukua gunia 100 kwa wastan wa35 ni 3500000 nkiziuza ni 7000000 hii haina stress Mkuu nakuunga mkono 100%
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.