Recent content by JoseEli

  1. J

    Rais Kagame amgawia Rais Magufuli Ng'ombe watano

    Ngombe hamjapewa wanachi, kapewa raisi
  2. J

    Ventilation on MCC move is primed on wrong assumptions

    Tutalaumiana sana kwa hili kwa hatua hii tuliyofikia. Wengine watamlaumu Jecha Salum Jecha, wengine watamlaumu Kikwete kwa kutoingilia mgogoro huu wa kisiasa na hata wengine watalaumu Maalim Sefu kwamba kungangania kwake madaraka ndiyo kumetofikisha hatua hii. UKWELI wa mambo ni huu: Kosa...
  3. J

    Rais Magufuli: Mshahara wangu kwa Mwezi ni Sh. Milioni 9.5. Nitatoa salary slip...

    Jambo la kushangaza ni kwamba mshahara wa raisi wa nchi uko kwenye scale au anaamua kwa utashi wake alipwe kiasi gani pale anapoingia ikulu? Kila siku tunasema hapa kwamba ikulu ni taasisi inayotakiwa iendeshwe kwa taratibu za kiutumishi, sasa inakuwavipi mtangulizi wako alipwe dola...
  4. J

    TFF Kuna tatizo gani?

    Malinzi ni shida tangu alipoingia TFF..... kwanza alienda kupanga ofisi PPF Tower kwa kuona kukaa ofisi za Karume ataonekana kama yeye siyo CEO ni lazima akakae na MA_ CEO wenzake posta. Pili akafanya ubadhirifu wa kutisha kwa kizingizio cha kutafuta vipaji nchi nzima... matokeo yake zoezi zima...
  5. J

    Rais Magufuli, timua huyu mkurugenzi wa TASAF

    Hii dhana kwamba umaskini utaondolewa kwa kugawia maskini fedha siyo sahihi kabisa. Money is given to entrepreneurs.. who in turn invest it and employ the rest. Kugawia watu tzs 100,000 mpaka Tzs 300,000 siyo dawa ya kuwaondolea umaskini. Watazila tu
  6. J

    Ufafanuzi wa mapato na matumizi ya serikali kwa mwezi Machi, 2016

    Polisi na Wanajeshi huwa wana allowance kila katikati ya mwezi TZS 60,000 inaitwa ration allowance
  7. J

    Ufafanuzi wa mapato na matumizi ya serikali kwa mwezi Machi, 2016

    Ulitaka aje na viroba vya noti kuonesha kwenye press conference?
  8. J

    Rais Museveni anachochea chuki baina ya Tanzania na Kenya

    Tanzania tuna bomba la kusafirisha mafuta kupeleka Zambia mpaka sasa hivi kuna faida ya kipekee sana ambayo nchi inaweza kujivunia kwa bomba hilo kupita katika ardhi yetu. Nchi hii ina resources nyingi sana za kuifanya ipae kiuchumi... agriculture, tourism, mining, to mention a few. Kama Kenya...
  9. J

    Ufafanuzi wa mapato na matumizi ya serikali kwa mwezi Machi, 2016

    Mwezi siyo lazima uanze tarehe 1 na kwisha tarehe 30/31. Accounting period inaweza kuwa tarehe yoyote ambayo inaamuliwa na organization
  10. J

    Ufafanuzi wa mapato na matumizi ya serikali kwa mwezi Machi, 2016

    item namba 16, -shilingi 5,124,997,500 hapa ndiyo naona kama kuna wasiwasi. Hizi ni fedha wanazopewa wabunge kuhonga wapiga kura. I wonder if these money are audited
  11. J

    Ufafanuzi wa mapato na matumizi ya serikali kwa mwezi Machi, 2016

    Naopongeza utaratibu huu. Kwani taarifa kuhusu mapato na matumizi ya kodi ni incentive kwa walipa kodi Halafu mwisho wa mwaka pia wanaweza ku- consolidate hizi taarifa wananchi wakajua kwa mwaka zimekusanywa shilingi ngapi, sekta zipi zimetumia fedha nyingi, na wapime value for money kwa...
  12. J

    Mkuu wa Mkoa wa Arusha aikosesha TRA mapato

    Kwa nini sualahili lisishughulikiwe na TRA ambao ndio wenye mamlaka ya leseni. Mkuu wa Mkoa anaweza kuwasaidia TRA ili compliance iwe ya kuridhisha
  13. J

    Meya wa Kinondoni akabidhi mkopo wa Mil 33, kwa Kinamama na Vijana

    UKAWA wanacheza mchezo wasioujuwa. Kuna dhana kwamba any money coming from the government in form of a loan is a gift. Kama UKAWA wanataka mpango huu uwe sustainable wangetafuta MFI (micro finance institutitions) wakawapa hizo hela na kuwaagiza wawakopeshe akina vikundi hivyo kwa riba ya chini
  14. J

    Historia ya mzee Philemon Ndesamburo, aliyekuwa mbunge wa Moshi mjini

    Matajiri wengi wa Kiafrika wakieleza historia zao huwa wanaeleza jinsi walivyopata shida na shughuli za ajabu ambazo walikuwa wanafanya kabla ya maisha yao kubadilika. Kuna Mzee mmoja ambaye mambo yake kwa hali ya tanzania unaweza kumwita tajiri nilizungumza naye na akanieleza yeye alianza...
  15. J

    DC Magu aagiza walimu kufanya usafi shule zao kila Jumamosi

    Hivi jamani hili jambo ni sawa? Siku ya mapumziko ni haki ya mfanyakazi kupumzika na kufanya mambo mengine
Back
Top Bottom