Recent content by Jose mmali

  1. J

    One On One with January Makamba: Azungumzia maisha yake ya kijijini, familia na Urais 2015

    sijui kama nimemwelewa peke yangu. Maana hajasema atagombea amesema ameshawishiwa na bado anatafakari. Sio kosa kwa wanaohc anafaa kumuunga mkono kabla hajaamua lakini mnao pinga..... Pingeni kwa hoja basi ili mueleweke na muwaeleshe wengine vinginevyo kama hamuwezi mtakuwa hamujielewi.
  2. J

    One On One with January Makamba: Azungumzia maisha yake ya kijijini, familia na Urais 2015

    Busara ni kuzungumzia huo upuuz unaouona kwake na kwa hao unaowaona wengine na unavyofanana. Tujadili hoja kwa hoja sio kwa matusi unless una mgombea wako ambaye unaona ujio wa january ni tishio kwake
  3. J

    Lowassa kutikisa Dar Jumapili hii

    Sio tu mwendawazimu kama freemason wanaoamn eti watampindua mungu aafu watawale mbingu na dunia
  4. J

    Lowassa kutikisa Dar Jumapili hii

    Ni zaidi ya huko maana kumuunga mkono ni kumuunga mkono shetani kwa kusahau shida alizobabisha kwa watz maskini kwani pesa alizoiba anazosimbaza sasa zingetumika kutuendeleza kipindi kile tungekuwa mbali.
  5. J

    Lowassa kutikisa Dar Jumapili hii

    Bila shaka we n mmoja waliochukua pesa za haraka. Kama una akili kichwan na hufikirii kwa kutumia makalio huwez kumuunga mkono fisad ambaye kila alipogusa utajr ulipaa kutisha. Sijasahau machungu ya rich monduli aafu leo anathubutu kufanya mikakati ya kugombea urais kweli hili taifa la wadanganyika
  6. J

    Kupanda kiinua mgongo cha Wabunge: Nini msimamo wa Upinzani?

    Unauliza makalio ya dog na mkia unaouona na atadai zaid pengine. Viongoz wa chadema wamejaa ahadi zisizotimizika ka CCM, ooh! Tukishinda tutapiga marufuku posho za vikao, mbona hadi leo wanalamba
  7. J

    Mangula: Lowassa bora uondoke kuliko kuivuruga CCM

    mungu saidia fisadi hili liengeluwe mapema maana wengi wanadhani pesa ndo uongoz so wanaiba nyingi ili waje wazitumie kuwanunua wadanganyika
  8. J

    Lowasa ajiandae kufungishiwa virago CCM.

    hata kama hamna wa kumfukuza hamna, anguko lake liko njian. Mshahara wa dhambi ni mauti.
  9. J

    January Makamba leo ni siku yako na haya ndo maneno yako

    Aisee kiongoz bora umesema kitu maana ni aibu jamvi la wenye fikra linageuzwa jamvi la mateja. Changia mada kiheshima, pinga hoja kwa hoja au kubali hoja kwa hoja na sio hoja kwa matusi, kejeli na vijembe. Tuwe na utashi katika kujadili mambo na sio kuweka hisia za vyama mbele
  10. J

    January Makamba leo ni siku yako na haya ndo maneno yako

    happy bd mh. J Makamba naamn ni muda sahihi wa kujpanga kuchukua kiti. Ni mda wetu pamoja kama vijana tulete mabadiliko
  11. J

    2015 vijana twendeni na january makamba kuwa rais

    Wangekuwa kina flani hapo wangeropoka hadi asubuh labda flani labda flani. This is new president for new Tanzania
  12. J

    Mamilioni ya Lowassa yaingia CHADEMA

    Mi mwenyewe kura yangu hapati. Kwa mtu anayetumia akili yake vizur kwa matumiz anayotumia kununua wapiga kura lazima upate shaka. Lkn watz tulivyo wavivu kufikiri hilo hatulioni eti ni mchapakazi, mchapakazi amekuwa sokoine huyu? Mchapakazi au mchapa mabilioni?
  13. J

    Mamilioni ya Lowassa yaingia CHADEMA

    Ndugu umesoma hilo gazeti alilotaja mtoa mada? M nimesoma na ndo ukiyatafakari kwa kina kuna kitu ambacho wafuasi wa chadema hawajashtukia. So wakimpa chance kugombea kupitia chadema utafanyaje maana wanachadema wengi ni zidumu fikra za mbowe na slaa. Mnawaamini mpaka hamtaki kufikiria zaidi.
  14. J

    Mamilioni ya Lowassa yaingia CHADEMA

    Kweli rushwa kama kula nyama ya mtu. Nakumbuka kauli ya wasira kuwa chadema haitavuka 2015 kweli kwisha habari ya CHADEMA na Lowasa au ndio wanapeana shavu kisa ukanda? Ni mtazamo tu!
  15. J

    Mh. Edward Lowassa aina hii ya uzalendo na upendo....!!!!!! NI HATARI KWA TAIFA.

    Aisee kweli mda wa watu kutajirika sa hv. Kweli msimu huu lazima wajumbe wasalimiwe shikamoo. white hair!!!! Una hasira na ikulu
Back
Top Bottom