Kwa mamlaka niliyopewa nawatunukia tuzo ya heshima na kuwainulia JamiiForum mikono.
Kama mkuu ana nia kweli basi achukue hansad hizo aanze nazo kazi. Yani nyeupeeee
The bad image of TAKUKURU. Kwa hili naomba niseme takukuru mmejuchafua sana na hili doa limewafanya mdharaulike kwa kiasi kikubwa. How can you do that? Uko wapi weledi wenu unawaheshimisha?? Hili doa nani atalifuta?? Mmeamua kutoa uaminifu wenu kabisa kwa wananchi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.