Ni bora kuwa pekeako kuliko kuwa na mtu anayekufanya ujihisi uko pekaako, msemo huu una maana gani? Iko hivi, kwa mfano uko katika mahusiano ya kimapenzi na mtu lakini mtu huyo muda mwingi anautumia kwa mambo yake na hajali hisia zako.
Rais wa Tanzania John Magufuli amewaasa viongozi anaowateua kuridhika na nafasi wanazopatiwa akisema kuwa haiwezekani ukapata kila kitu.
Magufuli ameyasema hayo alipokuwa akiwaapisha Bw. Idd Hassan Kimanta kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, katika hafla iliyofanyika Ikulu jijini Dar es Salaam na...
Wengi tunajua kwamba ukitoa chozi au kulia itakusaidia kupunguza machungu yaliyomo ndani ya moyo wako sindioo? Ni kweli lakini ukilia kwa kutoa machozi hali hii hudhihirisha kwamba umejikatia tamaa kabisa na hauna namna nyingine ya mufanya. Leo najua kuna watu wanamatatizo mengi sana mpaka...
"Nakupenda sana mpenzi wangu" Kauli hii unaichukuliaje?
Acha leo nikuibie siri wakati unapomwambia mpenzi wako kuwa unampenda sana mpenzi wako huwa anafarijika sana hata kama anamaumivu moyoni basi maumivu yale yanayeyushwa na kauli hii.
Kwanza kabisa kauli hii mara anapoisikia ikitoka...
KUHUSU MOYO WAKO
BY: Mfalme
Moyo huwa unadunda kwa nyendo tofauti kwa hali tofauti tofauti (different Apparitional)
Hivi ndivyo mapigo ya moyo hupiga kwa vipindi tofauti.
(1) UKIWA NA HASIRA
ukiwa na hasira mapigo ya moyo hupiga taratibu sana kutokana na ghadhabu ulionayo na hasira...
Oooh kunamtu anaweza kupenda mwanamke ikiwa mwanamke anakalio kubwa kwa sasa wanaita wowowo na kuna mwingine anampenda mwananke kwa kila kitubalichonacho so hebu niambie kaka kati ya hao wawili ni nani atachokwa mapema?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.