Recent content by jooeli

  1. J

    Namanage Account za Forex

    sarafu za mtandaoni haziitwi forex trading- ni cryptocurrency
  2. J

    Shayo Abiud wa Clouds FM anasikitisha kwa kweli

    Ubingwa mara moja ndani ya mika mitano wamechanganyikiwa hadi jezi imekuwa very loud
  3. J

    Baada ya miaka 5 mbele naiona Yanga SC ikiwa klabu yenye misuli ya kutosha kiuchumi

    Sijui kwa nini watu wako so shallow kwenye argument Yanga kwa sasa inafadhiliwa na GSM, na ina mkataba wa udhamini wa AZAM and Sport pesa. Kama club haijaweza kuwa na vyanzo reliable vya mapato. Hatujui Sport pesa na Azam watakaa kwa muda gani lakini definitely hawatakaa milele. Unaweza ku-urge...
  4. J

    Nini kimetokea Prof. Kahyarara, Katibu Mkuu wa Wizara ya Uwekezaji, Biashara na Viwanda kuwa RAS Geita?

    Huyo ni mastrich amefanya kazi ESRF, UDSM, NSSF, Wizarani, RAS
  5. J

    Mtaka kwenda kuwa RC Njombe ni kumpunguza spidi?

    Kama Mtaka ni mzuri popote atangara. Nombe kuna potential za kutosha.. zinahitaji political will na courage. He is very right person for Njombe
  6. J

    Ally Happi na Kafulila "waenda na maji", Watumbuliwa Ukuu wa Mkoa

    Ali Hapi alishaonywa na mama walau, Kafulila alikuwa on fire sana. Duh maisha haya ni mitihani sana
  7. J

    Yanga wanajiandaa kumpeleka Kamati ya Maadili Rais wa TFF kwa kuwatukana hadharani

    Manara hafai. Anajifanya anaujua sana mpira. Huyo afungiwe maisha afe njaa
  8. J

    MTWARA: Basi la Shule ya King David lapata ajali, watu 10 Wamefariki na wengine 19 Wakijeruhiwa baada ya gari 'kufeli breki'

    Ni uchungu sana kupoteza idadi kubwa hiyo ya watu. Palifanyika ukaguzi wa magari ya shule ilipotokea ile ajali Arusha, na kama kawaida hali ikapoa na wenye magari hayo ni wazi wamejisahau tena. Kwa picha tu hii gari iliyopata ajali leo na kusababisha vifo hivyo inaonekana ni chakavu
  9. J

    Manara anahangaika na hana washauri

    Unilateral judgment siyo uonevu Kulingana na mazingira yatakayokuwepo- kama upande mmoja haukutoa ushirikiano maamuzi yanaweza kutolewa kwa kusikiliza upande mmoja Nafasi ya rufaa inatoa fursa kwa kila upande kuwasilisha concern zake kuhusiana na hukumu tajwa kama zipo Kuendelea na defensive...
  10. J

    Bifu ya hawa wawili Arusha bado mbichi

    Nonsense tale.
  11. J

    Wanayanga tusimwache mwenzetu peke yake, mpaka atujumuishe kwani sisi hatuoni? Kesho tunalianzisha

    Kama kuna jambo la kipuuzi wanayanga mnafanya ni hizi unprofessional reaction kuhusu hukumu ya Haji Manara. Ile hukumu ilihitimishwa kwa kusema fursa ya kukata rufaa ipo wazi. Lakini si Manara mwenyewe wala wanachama wengine wanaoonekana kuelewa jambo hili. Nawauliza wana yanga maswali...
Back
Top Bottom