Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,353
- 11,492
Kesho maandamano makubwa tukayafanye karia aondolewe madarakani. Manara ametupa pande nasi tulicheze kwa upande wetu.
Karia wa kutwambia viongozi wetu wote wamejaa kinyesi kwenye sehemu zao za haja? Anamaanisha nini? Hili tusi ni kubwa sana. Maana yake wanatokwaje na kinyesi?
Nmeshangaa wanayanga hatujachukua hatua yoyote mpaka sasa kumtetea msemaji wetu. Twendeni kwanza tumchangie hizo mil 20. Then tukalianzishe la kigeto geto.
Karia utajua hujui...chezea hao hao ila si yanga. Haji endelea kutupa za ndaaaaani kabisa nasi tupandishe mzuka zaidi. Patakuwa hapatoshi na huyu msomali arudishwe kwao.
Karia wa kutwambia viongozi wetu wote wamejaa kinyesi kwenye sehemu zao za haja? Anamaanisha nini? Hili tusi ni kubwa sana. Maana yake wanatokwaje na kinyesi?
Nmeshangaa wanayanga hatujachukua hatua yoyote mpaka sasa kumtetea msemaji wetu. Twendeni kwanza tumchangie hizo mil 20. Then tukalianzishe la kigeto geto.
Karia utajua hujui...chezea hao hao ila si yanga. Haji endelea kutupa za ndaaaaani kabisa nasi tupandishe mzuka zaidi. Patakuwa hapatoshi na huyu msomali arudishwe kwao.