Recent content by joo_73

  1. J

    Watumiaji wa Mitandao na Watanzania tumelishwa tango pori kuhusu mtoaji Bastola kwa Nape pale Protea

    hichi kishoti hakijatoa bastola mbona hamuelewi ila alienda kwa mbembeni akafungua mlango na akamshika mkono akaanza kuvuta...nikweli kabisa hajatoa mimi naona mtoa atakua kipofu sio bure
  2. J

    Watumiaji wa Mitandao na Watanzania tumelishwa tango pori kuhusu mtoaji Bastola kwa Nape pale Protea

    huyu sie alietoa bastola bali huyu alufungua mlango na kumshika nape aingie kwa gari
  3. J

    Lady jaydee kuzindua album ya Woman, anaitaji support

    mimi nataka 4 plz za 50000
  4. J

    Rais Magufuli umeua biashara nchini makusudi na haupendwi kama unavyodhani

    ukisema utaskiaa oooh nyie c wauza madawa ya kukevya ama wapiga dili mmezoea hvo
  5. J

    Rais Magufuli anamuandaa Makonda kuwa Rais wa awamu ya sita?

    hayo mazoea tuu nasio kam iko kwa katiba
  6. J

    Rais Magufuli anamuandaa Makonda kuwa Rais wa awamu ya sita?

    huu uzi mtakuja kuniambia...kila mmoja wenu aweje hii post kwa simu yake
  7. J

    Rais Magufuli anamuandaa Makonda kuwa Rais wa awamu ya sita?

    Jamani kila nikitafakari na hii hali ya mambo inaonekana kila hali rais John Joseph Pombe Magufuli anamuanda RC wa Dar es Salam Daudi Albert Bashite almaarufu Paul Makonda kuwa mrithi wake yaani hii wala haiihitaji elimu kulitambua hili yuko tayari kugombana na yeyote ilimradi amtetee huyu bwana...
  8. J

    Antony Diallo anena kuhusu yanayoendelea nchini

    bt sasa why asitoe vyeti akamaliza ishu yoye na akawaumbu wabaya wake?acheni mchezo wakuigiza huo...mnakaa mnapanga mnapanga tuu kwani unazani sie wajinga kiivyo.
  9. J

    Bandarini Dar: Rais Magufuli akamata kontena lenye magari 3 na Makontena 20 yenye Mchanga wa Madini

    hayooo yoooote yalishapangwa....wamtumbue Nape then aende bandarini eti kakamara makontena uongo mtupuuuuu
  10. J

    Ikiwa ni kweli mkuu wa mkoa wa Dar ameidharau tume ya Nape sasa atakuwa kafika mbali!

    jamani mimi najiuliza sana najibu sipati Makonda anampa nini mkuu yani mkuu ule ukali wake woote...daaah cjui ata wp umeenda ikija ishu ya makonda manake tukatae tukubali kama mtu mwengine mkuu asingemuacha.
  11. J

    Clouds Tv Vs Makonda...

    bt pia clouds imekua maarufu mara dufu
  12. J

    Waziri Nape: Kitendo kilichofanywa na RC Makonda kimenajisi Tasnia ya Habari. Kamati yaundwa...

    noo mm hpa kiimani ni mkristo lkn nasema bwan mengi sio muoga kwajili ya imani ya dini ila huyu rais wa awamu hii ni kichaa...kikwete alikua mstaarabu na mvumilivu...huyu rais wa mara hii hana dini huyu.
Back
Top Bottom