Mkuu kiuhalisia cheo cha mkuu wa wilaya na mkoa vipo kihalali tangia mkoloni na vinaumuhimu sana kiutawala. Tatizo limejitokeza pale MFUMO wa vyama vingi upoanzishwa, chama tawala ikahodhi vyeo hivi na kufanya utendajikazi wake uwe ROBO TATU ni siasa kwa chama kinachotawala na ROBO ni uongozi...
Mkuu umeme nalipa wastani wa sh. Elfu 5 na service charge elfu 5. Hii haingi akilini kwa kwa malipo huduma (tips) kuzidi gharama ya kitu unachohudumiwa (nunua). Ni vyema huduma hii formula yake ingekuwa kwa asilimia kama VAT
Mkuu Eddy, ajira hizi za uwaziri (kule Merikani zinaitwa Secretary of State) ni rutuba kwa manufaa na maendeleo ya nchi, hivyo sifa ya kuwa waziri nadhani haifanani kabisa na kuchukua fomu ya kuchaguliwa na wananchi maana sifa ya fomu ni kujua kusoma na kuandika.
Mkuu tatizo lingine ambalo linapaisha sana ADA kuwa kubwa ni namna ya ukokotoaji wa ankra katika kufikia kiwango cha ada yenyewe. Mwenye hizo shule wanakokotoa ankra zao kwa kuweka makisio makubwa hasa kwenye purchasing kama ifanyavyo ile Taasisi ya Manunuzi ya Serikali (peni ya sh. 200/- wao...
Mkuu hiyo familia yako yenye tegemezi say 4, sasa gawanya kwa hiyo laki 4, kila mmoja atatumia ngapi? Tafadhali jenga hoja za msingi kwenye masuala ya msingi. Serikali ina shule zake za sekondari za kutwa na bweni na wanazigharamia, hivyo wanajua takwimu halisi za gharama. La msingi ni kufanya...
Mkuu mambo ni kwa bajeti maana akisevu gharama kwa mawaziri na manaibu kwa mwezi Novemba na Desemba, fedha hizo zinaweza kumalizia barabara ya kutoka Dodoma to Babati, Manyara.
Hii inategemea na kujitambua kwa Waheshimiwa Wabunge, kama Serikali ikiwaona hawa Waheshimiwa hawajitambui/hajui wajibu wao Bungeni na wakati huohuo Serikali inataka mambo yake yaende watakavyo basi hutumia mwanya huo kupenyeza mtu wao kutoka Serikalini.
Nadhani bora hata wale wa zamani akina...
Mkuu, waziri ambaye ataendelea na uwaziri hadi siku ya kuapishwa ni yule ambaye hagombei UBUNGE tena. Mawaziri ambao wanaendelea kugombea Ubunge ni sharti uwaziri wao unakoma pale wanapoteuliwa kugombea jimbo. Nenda kasome Katiba sambamba na sheria na kanunu Zane.
Kwa wabunge tulionao wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.