Recent content by jonas255

  1. jonas255

    Taratibu za kuvunja ndoa bomani

    Habari wana JF Mimi nilifunga ndoa ya bomani, ila ndoa yangu iliingia doa na uwezekano wa kurudiana imeshindikana. Nilikua naitaji kujua taratibu za kuvunja ndoa za bomani, maana sheria inataka ndoa za Kiislam tu ndio zivunjwe mahakamani, ila za Kikristo na za bomani hazijazungumziwa. Asanteni.
  2. jonas255

    Je, Wanaume wengi hufa mapema kutokana na msongo wa mawazo (frustrations) unaosababishwa na wake zao?

    Mshiiri, ME NILIACHANA NA MKE WANGU KIDOGO NIFE NA MAWAZO NA POMBE... NASHUKURU MCHEPUKO UKANIOKOA :(
  3. jonas255

    Car4Sale Wapenzi wa magari mazuri msiache kupitia huu uzi ili kuuza au kununua

    NIMEJICHANGA NIMEPATA TSHS. 2,500,000 JE NAWEZA KUPATA GARI GANI TOFAUTI NA COROLA, MARK 2 NA CRESTA
  4. jonas255

    Kiwanja kinauzwa

    Watu wenginewashamba kweli
  5. jonas255

    Bukoba: Mahakama Kuu yamhukumu kunyongwa hadi kufa Mwalimu aliyemuua mwanafunzi kwa kipigo

    So the mens rea was proven... Omg but i think she had no intention to slaughter that student... It was actus reus
  6. jonas255

    Mjane wa marehemu kupata asilimia kwenye pension

    Baba yangu alikua Mtumishi wa Ualimu idara ya elimu msingi kwa miaka mingi mpaka alipostaafu rasmi utumishi serikalini 2016 baada ya kuitumikia serikali kwa miaka 37 Baada ya kustaafu ilimchukua miezi kumi akapewa kiinua mgongo takribani 79 million lakini bado alikua akipewa penshen ya tsh laki...
  7. jonas255

    Je, mjane wa marehemu anaweza kuendelea kupata asilimia fulani ya (pensheni)aliyokuwa anapokea marehemu?

    Baba yangu alikua Mtumishi wa Ualimu idara ya elimu msingi kwa miaka mingi mpaka alipostaafu rasmi utumishi serikalini 2016 baada ya kuitumikia serikali kwa miaka 37 Baada ya kustaafu ilimchukua miezi kumi akapewa kiinua mgongo takribani 79 million lakini bado alikua akipewa penshen ya tsh laki...
  8. jonas255

    Mjane kupokea pension ya mumewe

    Baba yangu alikua Mtumishi wa Ualimu idara ya elimu msingi kwa miaka mingi mpaka alipostaafu rasmi utumishi serikalini 2016 baada ya kuitumikia serikali kwa miaka 37 Baada ya kustaafu ilimchukua miezi kumi akapewa kiinua mgongo takribani 79 million lakini bado alikua akipewa penshen ya tsh laki...
  9. jonas255

    Naomba kueleweshwa kuhusu riba ya CRDB ukiuza mkopo

    Ishu ni kwamba baada ya kupokea mkopo kuna tshs. 500,000 imebaki bank wameniambia kwenye hiyo laki 5 kama watakata mkopo wa mwezi december 2018 nitarudishiwa laki 3 na laki 2 itakayobaki ni interest ya mkopo... Ndio nilikua nauliza inakuaje hiyo laki mbili wakate interest wakati bank ishachukua...
  10. jonas255

    Naomba kueleweshwa kuhusu riba ya CRDB ukiuza mkopo

    Wadau habari.. Mimi mwezi december nimepokea mkopo wa milion 18900000 kutoka crdb... Niliuza mkopo wangu wa nmb... Tulifanya calculation na loan officer ya fedha nazoweza kupata ikaja kwenye 4500000... Cha ajabu nimewekewa mkopo wa 3900000... Nimefatilia nimekuta bank wamebania tshs 510000...
  11. jonas255

    Naomba kujulishwa kuhusu hisa za makampuni

    Wadau habari. Mimi leo nimenunua hisa 1000 kwenye kampuni sasa nilitaka kujua baada ya gawio la mwaka nitatakiwa kununua hisa zingine kama wanachama wapya au hizo hisa zangu 1000 zitaendelea kunipa gawio la kila mwisho wa mwaka? Natanguliza shukrani
  12. jonas255

    Baada ya kuonekana hadharani na kuleta matumaini Mnyama wa nadra KAKAKUONA hupotelea wapi ?

    Kakakuona ni wanyama wa familia Manidae ambao wamepambika na magamba na wana mkia mrefu. Wakitaka kujikinga dhidi ya wanyama mbuai wanajikunja. Huishi katika kishimo cha kina cha hadi mita 3.5 au katika mti mvungu. Hula mchwa na sisimizi na pengine wadudu wengine ambao huwakamata kwa ulimi wao...
Back
Top Bottom