Habari wana JF
Mimi nilifunga ndoa ya bomani, ila ndoa yangu iliingia doa na uwezekano wa kurudiana imeshindikana.
Nilikua naitaji kujua taratibu za kuvunja ndoa za bomani, maana sheria inataka ndoa za Kiislam tu ndio zivunjwe mahakamani, ila za Kikristo na za bomani hazijazungumziwa.
Asanteni.
Baba yangu alikua Mtumishi wa Ualimu idara ya elimu msingi kwa miaka mingi mpaka alipostaafu rasmi utumishi serikalini 2016 baada ya kuitumikia serikali kwa miaka 37
Baada ya kustaafu ilimchukua miezi kumi akapewa kiinua mgongo takribani 79 million lakini bado alikua akipewa penshen ya tsh laki...
Baba yangu alikua Mtumishi wa Ualimu idara ya elimu msingi kwa miaka mingi mpaka alipostaafu rasmi utumishi serikalini 2016 baada ya kuitumikia serikali kwa miaka 37
Baada ya kustaafu ilimchukua miezi kumi akapewa kiinua mgongo takribani 79 million lakini bado alikua akipewa penshen ya tsh laki...
Baba yangu alikua Mtumishi wa Ualimu idara ya elimu msingi kwa miaka mingi mpaka alipostaafu rasmi utumishi serikalini 2016 baada ya kuitumikia serikali kwa miaka 37
Baada ya kustaafu ilimchukua miezi kumi akapewa kiinua mgongo takribani 79 million lakini bado alikua akipewa penshen ya tsh laki...
Ishu ni kwamba baada ya kupokea mkopo kuna tshs. 500,000 imebaki bank wameniambia kwenye hiyo laki 5 kama watakata mkopo wa mwezi december 2018 nitarudishiwa laki 3 na laki 2 itakayobaki ni interest ya mkopo... Ndio nilikua nauliza inakuaje hiyo laki mbili wakate interest wakati bank ishachukua...
Wadau habari..
Mimi mwezi december nimepokea mkopo wa milion 18900000 kutoka crdb... Niliuza mkopo wangu wa nmb... Tulifanya calculation na loan officer ya fedha nazoweza kupata ikaja kwenye 4500000... Cha ajabu nimewekewa mkopo wa 3900000... Nimefatilia nimekuta bank wamebania tshs 510000...
Wadau habari.
Mimi leo nimenunua hisa 1000 kwenye kampuni sasa nilitaka kujua baada ya gawio la mwaka nitatakiwa kununua hisa zingine kama wanachama wapya au hizo hisa zangu 1000 zitaendelea kunipa gawio la kila mwisho wa mwaka? Natanguliza shukrani
Kakakuona ni wanyama wa familia Manidae ambao wamepambika na magamba na wana mkia mrefu. Wakitaka kujikinga dhidi ya wanyama mbuai wanajikunja.
Huishi katika kishimo cha kina cha hadi mita 3.5 au katika mti mvungu.
Hula mchwa na sisimizi na pengine wadudu wengine ambao huwakamata kwa ulimi wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.