Recent content by jollyjolly

  1. jollyjolly

    msaada huawei ascend 200

    naomba msaada kwa anaejua tatizo la simu hii kwan bila sababu button zote yaan back,menu button hazifanyi kaz je nitatizo ninaloweza liondoa kwa kuiflash?
  2. jollyjolly

    Huu ni unyanyasaji wa jinsia za kichaga hasa ya kike

    Hahah!!" Nashangaa kweli hatujawahi lilia mtu kaka zetu mwenyewe watutosha kwanza tumewapa favor zaman had nirudi moshi kwetu (sisi kwa sisi ) tumewapa fursa wameshindwa kutumudu oo sizitaki mbichi hizi maskin sungura aliye ruka ruka mwisho akachoka. Woiiiiiii waniache mie najitambua lulu mie
  3. jollyjolly

    Wanawake wa Kimarangu ni hatari

    Am proud to be a chagga girl MARANGU ndio asili yangu watasema tu watupake matope vyote tumebarikiwa akil, muonekano kilakitu nikupe siri upendeleo tumepewa "wachapakazi"hatutegemei yeyote mungu pekee kwa thread hii imefungua fursa za wengine kuvumbua dhahabu# watoto wakimarangu kkutafutwa@dili...
  4. jollyjolly

    Utaratibu wa kuresit form four

    Katika hali ya kushangaa kwa kushtushwa na taarifa kwamba ni lazima mtahiniwa asahili masomo zaidi ya matano kama anataka tafuta credit je nikweli utaratibu huo watumika?
  5. jollyjolly

    Mgomo UDSM, Mabibo hostel

    Polen mabibo Naielewa Hal hasa kwa wazima moto kama mimi
  6. jollyjolly

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Kuhusu. Mtaji alikwambia kaongopa kwan mtaji watakiwa. Mkubwa kwanza uchimbaj Chanson cha Maj cha kudumu vyakula na Maintenance ya kilacku hivyo. Gharama zahitajika vile vile faida. Ukifikia kuvuna. Kubwa pia Pia maji kutoka na Kuingia ni kulingana na muundo wa bwawa. Yaan lijengwapo lazima...
Back
Top Bottom