Nani ndugu yako humu we kibaka? Uchaguzi maana yake ni nini kama hauleti mabadiliko yoyote??..tumechoka ufisadi uliopotiliza, uchawa, utekaji na maisha magumu
We makalio ni wakala wa bima au? Hivi unafahamu kuwa hizo bima wengine tunazo tangu enzi lakn hospitali huduma ni za hivyo?? Unafahamu kwamba bima za sirikali yenu ya mafisadi na wanamtandao hazipokelewi kwenye hospitali nzuri za binafsi??
Unafahamu maana ya 'Mabadiliko ya Tabia ya Nchi?' Hiyo baridi kali kupitiliza unayohisi, joto kali kupitiliza, mvua nyingi kupitiliza kiangazi kikali na kubadilika kwa majira ndiyo matokeo ya huo ujinga wako wa kutoelewa faida za misitu na uhifadhi wa mazingira
Siungi mkono wala kupinga adhabu ya fimbo. Binafsi nilichapwa sana shuleni na kwa kiasi fulani ilisaidia kunifanya hivi nilivyo leo. Katika ukuaji wa mtoto kuna umri akifikia inabidi itumike nguvu kubwa sana ya kuthibiti mabadiliko yake ya tabia, umri wa balehe. Kudekeza kukizidi kuna madhara na...
Mtoto akiharibika ni janga kwa TAIFA na mtoto akiwa bora ni faida kwa JAMII. Chukulia mfano mtaani kwako, omba omba, wezi, vibaka, wala unga n.k ni huleta madhara kwa nani kama sio taifa zima?
Naona leo kwenye makundi yenu ya WhatsApp ya elf 7, 7 mmekubaliana mje humu kuanzisha nyuzi za kupinga kanisa kwa tamko lake la kuzuia mambuzi kwenye miambali ya kanisa. Kazi mnayo 😄
Wafugaji wamepungua na walaji wameongezeka. Mijini watu wanafuga magari kwaiyo utafika muda mtaanza kuchinja magari yenu mle injini make wa mjini kazi yao kutukana wafugaji (wasukuma) eti ni washamba 😅
Alichoandika ni ukweli ila hapo kwenye CWT ndipo ameweka slip yenye chama tofauti. Mshahara unaongezeka kulingana na muda wa kukaa kazini. Kwa mfano mwalimu wa cheti kama ilivyo mkeo, kama amekaa miaka mingi kazini mshahara wake utakua mkubwa kukiko mwalimu wa degree anaeanza. Tofauti yao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.