Ninyi polisi na walimu nisikieni

Ninyi polisi na walimu nisikieni

musicarlito

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2020
Posts
588
Reaction score
905
Wasalaam

Kutokana na kuaminiwa kwenye maisha ya watu wakati mwingine baadhi ya watu wa kada hizi mmekuwa na mambo ya ajabu

Mwalimu na polisi wengi wenu sio wote...huwa ni wajuaji kuliko... polisi au mwalimu,anaweza kumbishia fundi gari...Fundi nyumba ...daktari masikini na hali hajui chochote kati ya hayo...nilishuhudia ukuta wa nyumba ukianguka baada ya kujengwa hovyo kisa...polisi alimuamuru fundi kujenga anavyotaka sio kuzingatia kanuni za fundi

Sasa hii tabia yenu ya kupiga piga watu kama mnapiga mahindi...unampiga mtu kama umemfumania na mkeo ...itaendelea kuwadharaulisha na kuonekana uelewa wenu ni wa chini msiojitambua na zaidi kubeba laana

Unapata mshahara fuata kanuni na taratibu za kazi uwe na mwisho mwema
 
Wasalaam

Kutokana na kuaminiwa kwenye maisha ya watu wakati mwingine kada hizi mmekuwa wapumbavu narudia tena wapumbavu

Mwalimu na polisi wengi wenu sio wote...huwa ni wajuaji kuliko...mnapata wehu wa kisaikolojia...polisi au mwalimu,anaweza kumbishia fundi gari...Fundi nyumba ...daktari masikini na hali hajui chochote kati ya hayo...nilishuhudia ukuta wa nyumba ukianguka baada ya kujengwa hovyo kisa...polisi alimuamuru fundi kujenga anavyotaka sio kuzingatia kanuni za fundi

Sasa hii tabia yenu ya kupiga piga watu kama mnapiga mahindi...unampiga mtu kama umemfumania na mkeo ...itaendelea kuwadharaulisha na kuonekana uelewa wenu ni wa chini msiojitambua na zaidi kubeba laana

Unapata mshahara fuata kanuni na taratibu za kazi uwe na mwisho mwema
Ulipigwa si ungeacha hiyo kazi!
 
Unakuta Polisi mmoja anakusubir kwa hamu kwa kusema hivi😅
 
Imefika Stage mwl anamchapa mzazi
Hii ni kweli kabisa. Ati mwl anashindwa kumuamini mzazi kuhusu suala la mtoto wanaishia kutofautiana. Sasa najiuliza hawa wote si ni walezi?. Hata kama mzazi yuko upande wa mtoto akiharibika ni mzigo ni wa nani?. Baadhi ya Walimu ni wajinga, mazumbukuku wakubwa.
 
Wanakosa busara
Waalimu wachache sana wenye uelewa
Hii ni kweli kabisa. Ati mwl anashindwa kumuamini mzazi kuhusu suala la mtoto wanaishia kutofautiana. Sasa najiuliza hawa wote si ni walezi?. Hata kama mzazi yuko upande wa mtoto akiharibika ni mzigo ni wa nani?. Baadhi ya Walimu ni wajinga, mazumbukuku wakubwa.
 
Sijui kaama watakuelewa ila ni kwamba walimu wengi form IV failures kama walivyo polisi wenyewe na viongozi wa chama chetu in short wanaishi kwa symbiotic relationship
 
Hivi huwa wanavalishwa maroho gani?
Ukimuona Mwl kanisani ni tofauti na ukimuona kwenye Anga zake Shuleni
 
Hii ni kweli kabisa. Ati mwl anashindwa kumuamini mzazi kuhusu suala la mtoto wanaishia kutofautiana. Sasa najiuliza hawa wote si ni walezi?. Hata kama mzazi yuko upande wa mtoto akiharibika ni mzigo ni wa nani?. Baadhi ya Walimu ni wajinga, mazumbukuku wakubwa.
Mtoto akiharibika ni janga kwa TAIFA na mtoto akiwa bora ni faida kwa JAMII. Chukulia mfano mtaani kwako, omba omba, wezi, vibaka, wala unga n.k ni huleta madhara kwa nani kama sio taifa zima?
 
Mtoto akiharibika ni janga kwa TAIFA na mtoto akiwa bora ni faida kwa JAMII. Chukulia mfano mtaani kwako, omba omba, wezi, vibaka, wala unga n.k ni huleta madhara kwa nani kama sio taifa zima?
Kulea mtoto hadi awe na maadili mema si lazima apigwe hadi achakae.Akili zaidi Inatakiwa kutumia.Hasira za walimu zikiishia kwa kuwapiga watoto ndiyo njia ya kuelekea gerezani/hukumu ya kifo.
 
Siungi mkono wala kupinga adhabu ya fimbo. Binafsi nilichapwa sana shuleni na kwa kiasi fulani ilisaidia kunifanya hivi nilivyo leo. Katika ukuaji wa mtoto kuna umri akifikia inabidi itumike nguvu kubwa sana ya kuthibiti mabadiliko yake ya tabia, umri wa balehe. Kudekeza kukizidi kuna madhara na kutesa kukizidi pia kuna madhara.
 
Mtoto akiharibika ni janga kwa TAIFA na mtoto akiwa bora ni faida kwa JAMII. Chukulia mfano mtaani kwako, omba omba, wezi, vibaka, wala unga n.k ni huleta madhara kwa nani kama sio taifa zima?
Haya piga mpaka uue ndio ujue. Sijakaza adhabu Ila kuna adhabu mtu anatoa kama akili azimo. Hiyo ya uharibifu wa akili ipo na chanzo chake sio tu ukosefu wa nidhamu ni Mambo mengi yanachangia.
 
Siungi mkono wala kupinga adhabu ya fimbo. Binafsi nilichapwa sana shuleni na kwa kiasi fulani ilisaidia kunifanya hivi nilivyo leo. Katika ukuaji wa mtoto kuna umri akifikia inabidi itumike nguvu kubwa sana ya kuthibiti mabadiliko yake ya tabia, umri wa balehe. Kudekeza kukizidi kuna madhara na kutesa kukizidi pia kuna madhara.
Sahihi lakini vipi pale tunashindwa kupiga mstari mwembamba kati ya adhabu na kudhuru kama sio kudhalilisha utu wa mtu kiasi cha kusababisha vilema au mauti kabisa?
 
Back
Top Bottom