Natakakuanza hii biashara niifanyie Dodoma.. naomba nikutafute DM unipe Maarifa flan nikuulize maswali machache ili nijue kama ita wezekana nisije wekamtaji. uka lala
Hey wanajamii forum.
Mimi nimeamua kuhama Dar naenda Zambia ila kama kuna mtu anataka kuanza maisha Dar, aje tuzungumze maana Chumba changu kipo sehemu nzuri ya kuanzia maisha na vyombo vyote nakuachia unanilipa kashi , unaanza maisha yako.
Vitu vya ndani kwa Mtu anaye anza Maisha ni kama...
Embu tu fafanulie Champion ship Vs Premier ligi..
Maana wwngine hatufuatilii sana ndio tuna taka tuanze kufuatilia ligi ukubwani..
Je hizo za champion ship.. Simba n Yanga zipo au ni timu za daraja la chin tu??
Wana Jamii
Kuna hawa jamaa wa Startimes wanatu tangazia kuwa tu lipie kifurushi cha Mambo cha 17,000/= ili kupata TV3 inayo onyesha Ligi ya NBC ambayo mimi nijuavyo Azam TV ndio wenye mkataba wa kurusha.. sasa Nashindwa kujua.. Tunaingizwa mkenge ili kulipia vifurushi aua hii TV3 watarusha Ligi...
Kama hii Damu ya Yesu inge kuwa inamaliza kila kitu kwa miaka ya maombi niliyopitia na matamko ya hiyo damu niliyofanyiwa na watumishi.. na mm mwenyewe hakika Ndugu zangu wangekuwa mbali sana leo hii.. na Mm ningesha kuwa Mtu katka watu.
Embu ona hapo Same bible on one side against the other side.. These lines toument my faith .. .Maana mm ni muanga wa adhabu ya Baba na Mababu kulingana na Watumishi wanavyo niona karibia watumishi wa5 nilio kutana nao nyakati tofauti waliona makosa ya mababu na baba yangu ndio yamepelekea adhabu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.