Jojo123
JF-Expert Member
- Jan 31, 2013
- 437
- 715
Embu ona hapo Same bible on one side against the other side.. These lines toument my faith .. .Maana mm ni muanga wa adhabu ya Baba na Mababu kulingana na Watumishi wanavyo niona karibia watumishi wa5 nilio kutana nao nyakati tofauti waliona makosa ya mababu na baba yangu ndio yamepelekea adhabu kwangu na kaka zangu.. Lakini nikiipitia biblia nakuta na verses zinazo nichangnya zaidi.. How come ? Am I Missing something on interpretation or what?
Soma hii hapa utafakari unisaidie kama sielewi.
Kutoka 20:5
[5]Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Alafu kuna hii inapingana na hiyo ya juu.
KILA MTU ATA UBEBA MZIGO WAKE NA ADHABU YAKE:
Kumbukumbu la Torati 24 16
Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya baba zao; kila mtu na auawe kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.
Then, why is my family suffer from Mababu things??
Asanten
Soma hii hapa utafakari unisaidie kama sielewi.
Kutoka 20:5
[5]Usivisujudie wala kuvitumikia; kwa kuwa mimi, BWANA, Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu; nawapatiliza wana maovu ya baba zao, hata kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Alafu kuna hii inapingana na hiyo ya juu.
KILA MTU ATA UBEBA MZIGO WAKE NA ADHABU YAKE:
Kumbukumbu la Torati 24 16
Mababa wasiuawe kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasiuawe kwa ajili ya baba zao; kila mtu na auawe kwa ajili ya dhambi yake mwenyewe.
Then, why is my family suffer from Mababu things??
Asanten