Recent content by johnsonspy

  1. J

    Lowassa na Kiingereza chake!

    Lol ivi kufuli anaweza kweli kutamka kitu kwa kiingereza mbona Swahili lazima apinde mdomo? Tatizo hapo atakapo jaribu kuzungumza kwa kupinda mdomo lol.
  2. J

    Lowassa na Kiingereza chake!

    Mimi binafsi ningependa marais wa African wawe na lugha moja. Swahili ndio mpango Tanzania. Ninyi wakimbizi uzalendo harakati hamwezi. Kwanza mmekana machimbuko yenu mna hang hang tu hewani. Swahili ni kipaumbele ata tutampa mkalimani tena ndio nzuri tunajali taifa letu kwanza. Ninyi endeleni...
  3. J

    UVCCM yamvaa Lowassa, wasema watamnyosha

    Since juzi wameanza eti kutengeneza umeme. Walikua wapi wanategea kipindi cha uchaguzi waanze kuzima umeme. Rasmi juzi nimehamia CHADEMA wakati last time nilikua follower WA LOWASSA. Walipo anza kutuficha watanzania nili kasirika sana. For now wanatamani kila kitu kiwe manual. Hata hizi social...
  4. J

    UVCCM yamvaa Lowassa, wasema watamnyosha

    Team nzima ya joka la KIJANI na UGALI WA YANGA wote wasanii eti nae nape gitaa anajua lazima anaimba taarabu pia!!! Hatutaki wasanii ikulu tunataka rais wanakata viuno. Wakati diamond yupo na adija kopa pamoja na yamoto band.
  5. J

    UVCCM yamvaa Lowassa, wasema watamnyosha

    Wakacheze taarabu uko na kujifanya nao eti wasanii. Waliniuzi sana Jana eti kufuli anajipendekeza kwa wasanii ili apate nae kuongelewa. Hili jina lowasa litawasumbua sana.
  6. J

    Le Mutuz has done it again! Well done king of Bongo social media, Le bebez

    Nakumbuka siku nilio mtumia le some1 sms ktk inbox yA kumshauri awe mfano kwa jamii kwa kuto kutukana kama anavyodai but kaishia kuniblock. Nilimuambia tu atumia maneno mazuri, anapenda kusema mother fanta!!!! Hilo tusi!!!!!
  7. J

    Kama unamkubali mgombea wa CCM Dr. John Pombe Magufuli gonga like twende sawa

    Lol. However lowasa he's a talk b cause he's a hero.....
  8. J

    UKAWA kumpata mgombea Urais Jumamosi

    Mtanisamehe wale wastaarabu mnao ongea points big up to you all.
  9. J

    UKAWA kumpata mgombea Urais Jumamosi

    Taharab nyingi sana humu. Kwanini msiongee point?? Kwani mabadiliko na maendeleo ni ya nani? Au ninyi mnao shabikia vitu bila mpango mabalozi wa nyumba 10 sababu haongei vitu vya maana matusi na ujinga. Waza kama una akili.. Fikiri kabla hujasema.
  10. J

    Wadau hii ni kweli?

    Yah ni kweli wanawake wengi ni mpaka wasomeshwe na kauongo ndio wanakua walaini
  11. J

    Lowassa aandaa waraka kumchanachana Kikwete kesho (Julai 20, 2015), kutimkia ng'ambo...

    Usicho kijua ni Usiku wa kiza. Kila mtu anawaza lake!!!! Ila ajuae mola na muhusika.
  12. J

    What happens, sielewi..!

    Pole sana dada.
  13. J

    Lowassa ndani ya Monduli, ajiandikisha BVR

    Usicho kijua ni Usiku wa kiza. Hakuna anae jua Kati ya magufuli na lowasa nani angeleta mabadiliko, maisha magumu now.
Back
Top Bottom