Just imagine unaoa single mother.
Na unachukua mtoto unakaa nae ndani, yani ndoa yako inaanza na mtoto , hata kukaa kidogo wewe na mke hata mwaka unaenjoy pamoja ndani , mnaanza na kerere za mtoto.
Huko jamaa yeye akioa ndoa yake ananza huku hakuna mtoto kwenye ndoa .
Mara nyingine wanaume wanaokimbia watoto wanarudi kudai watoto kwa Sababu vifuatazo.
1. Huyo mtu kaingia kwenye Ndoa afu kashindwa kupata mtoto.
Sasa akikumbuka ameacha mtoto sehemu flani basi anarudi.
2. Huko kwenye ndoa yake kashidwa kupata mtoto wa kike pale akiona ana watoto wa kiume tupu...
Habari wanajf.
Nilileta uzi hapa kuhusu rafiki yangu mmoja ambaye alizaa nje watoto 2. Na mkewe alizaa nae watoto wawili.
Thread 'Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?' Ushauri, niwahusishe watoto wangu wa nje ya ndoa kwenye urithi?
Alipata kigugumizi kuhusu mali...
Kuna dada wiki hii alileta uzi kuhusu.
Mume wake kuzaa nje akasema mali zangu mrithi ni huyu wa kiume.
Aliaamua ni kudanga ili kuwajengea watoto wake kwa siri
Mimi ninavyojua hata mke na mume wakagawana kabla ya mume kufa kulimtu akabeba zake.
Na hamkuachana.
Mama anakuwa na mali zake na Baba anamali zake.
Baba akifa hizo mali za baba watapata watoto wa ndani ya ndoa , wa nje na mke wa ndoa anapata pia kwa kutumia cheti cha ndoa.
Ila mali za mama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.