Recent content by Johnny Sack

  1. J

    JamiiForums Tanzania Solid Ground family wanafanya show bila CD, na sauti Yao ipo safi kabisa

    Nimeshangaa sana yule kuwekwa kwenye wasanii wa zamani
  2. J

    JamiiForums Tanzania Solid Ground family wanafanya show bila CD, na sauti Yao ipo safi kabisa

    Hata Hard mad leo kapiga show nzuri Mwanza
  3. J

    JamiiForums Tanzania Solid Ground family wanafanya show bila CD, na sauti Yao ipo safi kabisa

    Hawa jamaa nimependa wanavyopiga show kwenye miaka 30 ya Bongo flavor Hawana mbwembwe nyingi zisizo za maana, pia sauti Yao haijamezwa na beat, sauti Yao sio kavu, na wala hawafuatishi CD, Best performance show ya Dar na ya Mwanza, labda hawazungungumziwi sana sababu nyimbo zao sio popular...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Kajifunze maana ya uvumbuzi....maana hata watu kupanga mawe unasema ni uvumbuzi
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Unaelewa maana ya neno 'uvumbuzi' kajifunze kwanza ndio uje kujadili
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Ukuta ni uvumbuzi pia?
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Coptic Egyptians ndio walijenga, hawakuwa weusi
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini sisi watu weusi hatuvumbui vitu?

    Mpemba effect kwani ni uvumbuzi (invention) au ni theory au hata law au principle? Ile Ilikuwa ni observation tu, ni kama anamolous expansion of water, huwezi sema mtu aliyei observe alivumbua
  9. J

    JamiiForums Tanzania Godigodi sadick: Umeshawai kusikia NGO's zinazungumzia haki za Wapelestina?, wanasubiri tukio wazungumze kubagaza Taifa zima

    Hii mbona NGO za kimataifa zinazungumzia sana suala la Palestina? Au hafuatilii habari Amnesty international, Human Right watch, hebu jaribuni kutumia hata Google jamani kabla ya kuongea na Media!
  10. J

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Nyerere: Kutafuta uongozi kwa kutumia dini au kabila unagawa watu. Kazi ya uongozi ni kujenga watu wawe kitu kimoja

    Magufuli huyo... akaitumia wasukuma....japo haikuwa hata msukuma og anyway
  11. J

    JamiiForums Tanzania Wanaume tuache ukatili na kiburi kwa kusema mtoto akikua atanitafuta. Watibeli tunasema hatutakutafuta

    Tena wanawake weusi wakiwa na hela kidogo tu wana attitude vibaya mno, na Sheria za kule kuwa ukizalisha lazima umtunze yeye na mtoto wake, ni fashion inaitwa strong independent woman
  12. J

    JamiiForums Tanzania Marekani single mothers wanalipwa milioni 2.5 kwa mwezi, hela ya kujikimu, Tanzania tunawapiga vita

    Kwa hiyo wanaume wanaotelekeza watoto wafanyajwe? Maana mtoto ndio muhanga hapo
  13. J

    JamiiForums Tanzania Wanaume tuache ukatili na kiburi kwa kusema mtoto akikua atanitafuta. Watibeli tunasema hatutakutafuta

    Ndio the most irresponsible group of people on Earth
  14. J

    JamiiForums Tanzania Marekani single mothers wanalipwa milioni 2.5 kwa mwezi, hela ya kujikimu, Tanzania tunawapiga vita

    Anayemiliki mbegu ni nani? Mimba inachangia na watu wawili sio mmoja. Mtoto ndio muhanga mkuu sababu anakosa malezi, mwanaume kwa nini akatie wakati hayupo tayari kulea?
  15. J

    JamiiForums Tanzania Marekani single mothers wanalipwa milioni 2.5 kwa mwezi, hela ya kujikimu, Tanzania tunawapiga vita

    Na kwa nini mwanaume amoe mimba mwanamke ambaye sio mke wake,na Hana hata mpango wa kuoa, si atafute mke aoe ndio afanye nae ngono?
Back
Top Bottom