Hawa jamaa nimependa wanavyopiga show kwenye miaka 30 ya Bongo flavor
Hawana mbwembwe nyingi zisizo za maana, pia sauti Yao haijamezwa na beat, sauti Yao sio kavu, na wala hawafuatishi CD,
Best performance show ya Dar na ya Mwanza, labda hawazungungumziwi sana sababu nyimbo zao sio popular...
Mpemba effect kwani ni uvumbuzi (invention) au ni theory au hata law au principle?
Ile Ilikuwa ni observation tu, ni kama anamolous expansion of water, huwezi sema mtu aliyei observe alivumbua
Hii mbona NGO za kimataifa zinazungumzia sana suala la Palestina? Au hafuatilii habari
Amnesty international, Human Right watch, hebu jaribuni kutumia hata Google jamani kabla ya kuongea na Media!
Tena wanawake weusi wakiwa na hela kidogo tu wana attitude vibaya mno, na Sheria za kule kuwa ukizalisha lazima umtunze yeye na mtoto wake, ni fashion inaitwa strong independent woman
Anayemiliki mbegu ni nani? Mimba inachangia na watu wawili sio mmoja.
Mtoto ndio muhanga mkuu sababu anakosa malezi, mwanaume kwa nini akatie wakati hayupo tayari kulea?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.