Recent content by Johnny Sack

  1. J

    JamiiForums Tanzania Rais Samia atunukiwa Shahada ya Heshima ya Uzamivu na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi

    Putin anayatongoza maviongozi majinga majinga ya Afrika kwa staili hiyo, sababu ametengwa na wazungu wenzake Anayadnaganya kwa tuzo za michongo, basi yanavimba kichwaa
  2. J

    JamiiForums Tanzania Hezbollah wamechukua udhibiti wa Hospitali ya Serikali ya Tebnine kusini mwa Lebanon

    Wana Jeshi la midoli...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Hezbollah wamechukua udhibiti wa Hospitali ya Serikali ya Tebnine kusini mwa Lebanon

    Hezbollah si ndio serikali ya Lebanon, maana ndio wana jeshi linalodhibiti nchi
  4. J

    JamiiForums Tanzania Nimekata mawasiliano na mama yangu kwa sababu ya maneno ya kejeli ya mara kwa mara

    Hiyo ni tough love mzee, mama yako hakuchukii ila anakuchanaga tu ili uwe vizuri...Wazazi wengine hawanaga soft love, akiwa na hajaridhishwa na wewe anakuchana makavu kwa hasira, lakini ni ili ujirekebishe.. Wazazi wengi naona wanawaambiaga watoto wao maneno magumu, ila wanawapenda na kuwaombea...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Kumbe Sir Alex Ferguson anazeeka na chuki na wivu wa ajabu hadi leo?

    Nilidhani mtu ukifanikiwa, ukastaafu na kuzeeka basi wivu na bifu za kitoto basi unawaachia vijana, lakini sio kwa huyu mzee Inaonekana ilimuuma sana Arsenal ilivyochukua ubingwa wa EPL na kufika fainali ya UEFA huku timu yake ukiwa inampa matatizo ya moto, japo imepata unafuu sasa hivi Hebu...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kuna siku ukweli wote utajulikana wazi kuhusu kifo cha Nyerere, lakini kwa wenye akili alichosema Jenerali Ulimwengu kinatosha

    Nyerere tunamuheshimu sana ila kama alitaka amuweke kibaraka wake aendeleze ule ujamaa wake basi ilikuwa ni halali yake kutangulizwa... Ni kweli utawala wa mkapa ulikuwa na mapungufu yake, (hakuna utawala ambao Hauna) lakini hasara yake ni mdogo ukilinganisha na hasara ya ujamaa wa Nyerere...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Neymar aumia wiki mbilia kabla ya Kombe la Dunia, Ancelotti alitaka kumuacha, ila akashinikizwa

    Si anakwepa foleni,na usumbufu wa mashabiki njiani
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia hakwenda kumzika Bi. Suzan Magufuli, Mama wa aliyekuwa Rais wa Tanzania?

    Mama wa Rais Hana umuhimu huo acheni shobo na kukuza watu
  9. J

    JamiiForums Tanzania Kombe la Arsenal, EPL lapelekwa Kenya, bongo tunafeli wapi?

    Kenya na Uganda wana mzuka sana na ligi ya Uingereza
  10. J

    JamiiForums Tanzania Kumbe "Assalamu alaykum" ndio salamu ya Watanzania ?

    Salamu ya kitanzania ni habari gani? Hamjambo? Vingine no upuuzi
  11. J

    JamiiForums Tanzania Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!

    Kuna sehemu ulikuwa unakosea mkuu, japo sikushauri urudi huko kama una damu ya addiction
  12. J

    JamiiForums Tanzania Betting ni mchezo unaoweza kukuletea umasikini hata kukuua!

    Exactly, kama huna control, upo prone to addiction, huna kazi, au kipato chako hakitoshi kukidhi mahitaji ya msingi basi usokaribie kabisa betting, itakuumiza....ila kama upo vizuri, huna mihemko Wala tamaa ya utajiri, unapenda na kuifutilia michezo basi betting unaweza kuitumia kama side...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Neymar aumia wiki mbilia kabla ya Kombe la Dunia, Ancelotti alitaka kumuacha, ila akashinikizwa

    Neymar ameripotiwa kuumia siku cjache kabla ya Kombe la Dunia kuanza na ataukosa michezo wa Brazil dhidi ya Morocco Katika majumuisho ya awali, kocha Carlo Ancelotti alikuwa amemuacha staa huyo kutokana na kutokuwa fit na kuandamwa na majeraha, lakini shinikizo kutoka kwa wanasiasa, mashabiki...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Ni kweli kampuni za kubeti zinadhulumu wawekezaji?

    ni side hustle tu😀😀 kazi ninayo nyingine Kamari inafaa sana kama side hustle kama ni mfuatiliaji wa michezo, unajua form za timu zipoje, majeruhi, morali ya wachezaji, ukizingatia hizi unatengeneza hela kwa consistency mzuri tu Ila cha kuzingatia ni kamari sio njia ya kupata utajiri wa haraka.
Back
Top Bottom