Exactly, kama huna control, upo prone to addiction, huna kazi, au kipato chako hakitoshi kukidhi mahitaji ya msingi basi usokaribie kabisa betting, itakuumiza....ila kama upo vizuri, huna mihemko Wala tamaa ya utajiri, unapenda na kuifutilia michezo basi betting unaweza kuitumia kama side...