Hii tabia ya kusema CCM wanafanya makosa kwa hiyo na sisi ni halali kufanya makosa hayo hayo nadhani inacompromise sana Chadema
CCM wana advantage ya dola, na wanatumia nguvu zote kubaki na dola za ili Chadema iitoe CCM madaakani inatakiwa kujionyesha ni bora, ni bora, ni bora kuizidi CCM, ndio...
Kuna watu kama Kigogo, Mange, Sukununu n.k ni watu ambao walivuma wakiitukana viongozi mtandaoni na kupata umaarufu kwa nyakati tofauti, na viongozi na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakidandia upepo wao japo baadae watu hawa wanakuja kuwageuka na kuwatukana na kudhalilisha viongozi wa CHADEMA...
Kama refa alikuwa amepanga kuwabeba Mamelodi angewapa penalti kwa Mamelodi, Memelodi wenyewe wamefungwa na Esperance goli lenye utata wa offside, kama kuna njama za kuwabeba hilo goli lingekataliwa..Alijitahidi kuwa fair ila mistakes huwa zinatokea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.