Recent content by Johnny Sack

  1. J

    Hili ni kosa la kiufundi alilofanya Adolf Hitler

    Hitler alikuwa anafanya nini na NATO inafanya nini?
  2. J

    GE2025 Salma Kikwete na Dotto Biteko wapita bila kupingwa, nani atakuwa Waziri Mkuu kati yao?

    Salma Kikwete na Dotto Biteko wote wamepita bila kupingwa na wagombea wengine ndani ya CCM ktk majimbo yao, mmoja wao lazima awe Waziri Mkuu kwa taratibu za CCM
  3. J

    GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025

    Nafikiri tatizo lipo kwa muongozaji wa kikao, sio kuwa Makalla ana hayo majina anachelewa kusoma, ni kuwa hajapewa, bado wanajadiliana huko ndani
  4. J

    Hili ni kosa la kiufundi alilofanya Adolf Hitler

    Kuhusu kuwa alikuwa ofisa wa juu wa jeshi la Nazi kishi kuwa ofisa wa juu wa NATO? Sina uhakika sana, lakini nahisi jamaa hakuhusika na zile war crimes, au pengine alikuwa ni anti -Hitler wa siri (hapo kuja tuhuma alitaka kumuua Hitler) Halafu pia vita baridi ilivyopamba moto, Marekani...
  5. J

    Je, Kanisa Katoliki limeingia kwenye mtego wa walokole?

    Ukristo ni kuzingatia mafundisho ya msingi Yesu Kristo ambayo ni upendo, kusamehe, kusaidia. Yatakiwa pia kuomba, kujielimisha na kufanya kazi. Ndivyo kanisa Katoliki tunavyofanya.
  6. J

    Je, Kanisa Katoliki limeingia kwenye mtego wa walokole?

    Wakatoliki tumekuwa na utamaduni mzuri, sasa wanataka kuuvunja Utamaduni wetu ni kufanya kazi siku za wiki, kupumzika Jumamosi na Jumapili ni siku ya kwenda kanisani, na kutoka kanisani mapema na kuja kutumia muda na familia Tunaamini katika kazi, elimu, malezi bora ta familia ndio...
  7. J

    Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

    Sio kuwa anataka talaka bila sababu, sababu ipo Ila jamaa hajataka kuitaja wala hataki make wake aiseme hiyo sababu kwa wazazi wake
  8. J

    Kwanini wachezaji wa soka baadhi yao wana tabia ya kutema mate wakiwa uwanjani lakini wachezaji wa basketball hawafanyi hivyo?

    Vipi kuhusu kukamulia makamasi chini uwanjani? Hii ubongo haiwapi ujumbe kuwa ni kinyaa? Maana ktk mazingira hats ukiwa barabarani huwezi kufanya hivyo,
  9. J

    Enyi Wakiristo hamjiulizi kwanini Mitume 12 wa Yesu walikuwa Wayahudi kwa asili yao lakini Wayahudi na dini yao ya Judaism haijawakubali

    Mtume Paulo, Mtume Paulo ambaye nae alikuwa myahudi alikuwa akieneza injili kwa wasio wayahudi na wayahudi, wayahudi nadhani wakawa hawapokei , na ndio aliwatamkia hayo maneno ambayo nae alikuwa ameyanukuu kwa Yesu au nabii mwngine wa kbl yke
  10. J

    Hili ni kosa la kiufundi alilofanya Adolf Hitler

    Sababu za WW2 ni zipi?
  11. J

    Hili ni kosa la kiufundi alilofanya Adolf Hitler

    Tulikuwa tunajadili fact za vita kuu ya pili ya dunia, ilivyokuwa mwanzo, pande zilizohusika na zilihusikaje, hii unayoleta ni mada mpya...na sipo interested kwenye ushabiki wa East vs West
  12. J

    Hili ni kosa la kiufundi alilofanya Adolf Hitler

    Hawa walikuwa wameshakubaliana jinsi ya kuipiga kugawana Ulaya, sema walikuwa hawaaminiani, ni kama majambazi wawili wanavyokubaliana kwenda kupora ila hawamianiani, kila mmoja anamshuku mwenzie anaweza kumgeuka muda wowote. Vingine ni ushabiki
Back
Top Bottom