Recent content by Johnny Sack

  1. J

    Hayati Magufuli alichukizwa sana na waliotaka abadili katiba ajiongezee muda ndio maana Ally Kessy hakurudi Bungeni

    Aliyesema atake asitake ni Ally Kesi sio ndugai, kasikilize tena video
  2. J

    Hayati Magufuli alichukizwa sana na waliotaka abadili katiba ajiongezee muda ndio maana Ally Kessy hakurudi Bungeni

    Alikuwa hapendi tu wapinzani, aliamini wanatumika na mabeberu
  3. J

    CHADEMA mnavyokumbatia watu wanaotukana mtandaoni inawafanya muonekane chama cha kihuni

    Hii tabia ya kusema CCM wanafanya makosa kwa hiyo na sisi ni halali kufanya makosa hayo hayo nadhani inacompromise sana Chadema CCM wana advantage ya dola, na wanatumia nguvu zote kubaki na dola za ili Chadema iitoe CCM madaakani inatakiwa kujionyesha ni bora, ni bora, ni bora kuizidi CCM, ndio...
  4. J

    Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

    Nimesahihisa ulichosema, kupiga mwanamke denda kwa nguvu ni kosa kwa nchi nyingi, nikakutolea hata mfano Tz
  5. J

    CHADEMA mnavyokumbatia watu wanaotukana mtandaoni inawafanya muonekane chama cha kihuni

    Kuna watu kama Kigogo, Mange, Sukununu n.k ni watu ambao walivuma wakiitukana viongozi mtandaoni na kupata umaarufu kwa nyakati tofauti, na viongozi na wanachama wa CHADEMA wamekuwa wakidandia upepo wao japo baadae watu hawa wanakuja kuwageuka na kuwatukana na kudhalilisha viongozi wa CHADEMA...
  6. J

    Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

    Labda miaka 9 ya kipindi hicho ilikuwa ikihesabiwa tofauti na hivi sasa ...labda ni miaka 18 kwa kalenda ya sasa
  7. J

    Mlinda mlango wa Iran kuadhibiwa kwa kumkumbatia shabiki mwanamke

    Alimpiga denda mdomoni kwa nguvu. Mzee hii hata bongo ukifanya unaingia matatizoni
  8. J

    FIFA wanaua soka, Kila timu inayoshiriki kombe la dunia la vilabu kupewa takribani shilingi bilioni 130, Mpira wa Afrika unaenda kuwa farmers league

    Kama refa alikuwa amepanga kuwabeba Mamelodi angewapa penalti kwa Mamelodi, Memelodi wenyewe wamefungwa na Esperance goli lenye utata wa offside, kama kuna njama za kuwabeba hilo goli lingekataliwa..Alijitahidi kuwa fair ila mistakes huwa zinatokea
  9. J

    Furaha Dominic akamatwa akisambaza picha za Utupu

    Amepost wapi?
Back
Top Bottom