Salma Kikwete na Dotto Biteko wote wamepita bila kupingwa na wagombea wengine ndani ya CCM ktk majimbo yao, mmoja wao lazima awe Waziri Mkuu kwa taratibu za CCM
Kuhusu kuwa alikuwa ofisa wa juu wa jeshi la Nazi kishi kuwa ofisa wa juu wa NATO?
Sina uhakika sana, lakini nahisi jamaa hakuhusika na zile war crimes, au pengine alikuwa ni anti -Hitler wa siri (hapo kuja tuhuma alitaka kumuua Hitler)
Halafu pia vita baridi ilivyopamba moto, Marekani...
Ukristo ni kuzingatia mafundisho ya msingi Yesu Kristo ambayo ni upendo, kusamehe, kusaidia. Yatakiwa pia kuomba, kujielimisha na kufanya kazi.
Ndivyo kanisa Katoliki tunavyofanya.
Wakatoliki tumekuwa na utamaduni mzuri, sasa wanataka kuuvunja
Utamaduni wetu ni kufanya kazi siku za wiki, kupumzika Jumamosi na Jumapili ni siku ya kwenda kanisani, na kutoka kanisani mapema na kuja kutumia muda na familia
Tunaamini katika kazi, elimu, malezi bora ta familia ndio...
Vipi kuhusu kukamulia makamasi chini uwanjani? Hii ubongo haiwapi ujumbe kuwa ni kinyaa? Maana ktk mazingira hats ukiwa barabarani huwezi kufanya hivyo,
Mtume Paulo, Mtume Paulo ambaye nae alikuwa myahudi alikuwa akieneza injili kwa wasio wayahudi na wayahudi, wayahudi nadhani wakawa hawapokei , na ndio aliwatamkia hayo maneno ambayo nae alikuwa ameyanukuu kwa Yesu au nabii mwngine wa kbl yke
Tulikuwa tunajadili fact za vita kuu ya pili ya dunia, ilivyokuwa mwanzo, pande zilizohusika na zilihusikaje, hii unayoleta ni mada mpya...na sipo interested kwenye ushabiki wa East vs West
Hawa walikuwa wameshakubaliana jinsi ya kuipiga kugawana Ulaya, sema walikuwa hawaaminiani, ni kama majambazi wawili wanavyokubaliana kwenda kupora ila hawamianiani, kila mmoja anamshuku mwenzie anaweza kumgeuka muda wowote. Vingine ni ushabiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.