Recent content by John Stuart mill

  1. J

    Napendekeza Alfonce Mawazo apewe Unaibu Katibu Mkuu CHADEMA

    Kamanda ,unaongea nini wewe? Tulia the time has come,hapo juu panalega panahitaji watu shupavu Kama wewe, we know you and tunaona nini unafanya ,
  2. J

    Napendekeza Alfonce Mawazo apewe Unaibu Katibu Mkuu CHADEMA

    Hawalijui Hilo,aanaobisha Mawazo hafanyi kazi ni wale ambao wanashinda kwenye Mitandao kutwa kucha ,Jamaa kazi anapiga ile mbaya,
  3. J

    Napendekeza Alfonce Mawazo apewe Unaibu Katibu Mkuu CHADEMA

    Sas wanasombetini kina nani wakati mi mwenyewe niko Sombetini ,wewe ndio unalopoka bila research ,unalazimisha tu hisi Kama unavyohisi wewe...Toa sababu zinazotetea ushawishi wako ndipo tutakuelewa otherwise kaa kimya acha kuongea kwa hisia
  4. J

    Napendekeza Alfonce Mawazo apewe Unaibu Katibu Mkuu CHADEMA

    Malaya wa siasa ndio mtu wa aina gani huyo? Maana sijaona mantiki katika uchangiaji wako zaidi ya ku jaribu kutufanya Tuhisi Kama vile unavyohisi wewe....Mawazo sio size ya Sadifa,Zidisha kina Sadifa Kama Mia moja hivi,Jamaa siasa anaiweza,
  5. J

    Sasa ni muda muafaka wa kung'oa ma-sultan - CUF kwa kuanza na prof. Lipumba

    Ukibishana na mjinga unaonekana mjinga,acha nikuache na ujinga wako,maana nitapoteza Muda Muda.ushauri wa bure: Hama jukwaa AMA ma Mod,Kama kweli wanajari na wanaona umuhimu wa jukwaa hili si vyema sana kuendelea kuwa na watu wenye akili Kama zako.Pole sana
  6. J

    Sasa ni muda muafaka wa kung'oa ma-sultan - CUF kwa kuanza na prof. Lipumba

    Well- addressed foolish Idea,from a well dressed satisfied fool.Pole sana
  7. J

    Tatizo la siasa za Tanzania

    Suala la uwajibikaji ni lazima liwe la kipaumbele sana ,juu ya watu AMA mtu anayekuwa kinyume na misingi ya Chama,pasipo kujari,ushawishi wake, jina ,cheo wala pesa,hata hapa binafsi naona ni uamuzi sahihi sana KAMA KWELI Zito na wenzake wamekiuka utaratibu wa Chama. Sio kweli kuwa vijana...
  8. J

    Sitaki urais, ni mzigo - Pinda

    Tunawezaje kuwa na raisi ,ambaye wazee wamemuomba ?hii inamaanisha bado ni mtumwa wa fikra ,ambaye anaamuliwa (kuombwa) kufanya jambo pasipo maamuzi Yake mwenyewe,mtu wa hivi ni tatizo tena kubwa,maana hata katika uongozi wake watarudi tena hao wazee kumuomba afanye kile wanachokifikiria...
  9. J

    Taarifa za Zitto na Dr. Kitila kwa Umma Juu ya Kuvuliwa Nafasi za Uongozi ndani ya CHADEMA

    Viongozi wana JF,kumekuwa na hisia tofauti na mitazamo juu ya CHADEMA kabla na hata baada ya kutolewa kwa maamuzi ya chama kuhusiana na ndugu Zito na wenzake,binafsi nikiwa miongoni ,lakini hapa nawasilisha kile nionacho kuhusiana na suala zima Suala la uwajibikaji ni lazima liwe la...
  10. J

    Sasa ni muda muafaka wa kung'oa ma-sultan - CUF kwa kuanza na prof. Lipumba

    Hapa napita tu, Mlango wa kuingilia siuoni
  11. J

    Maamuzi ya Kawaida alafu unayaita Magumu!

    CHADEMA hawajamkataa Zito (hawakusema hilo),bali wamefanya uwajibishaji kutokana na sababu walizozitaja,Zito bado yupo CHADEMA na ni mbunge kwa ticketi ya Chama Hicho na Chama kinamtambua na wala Zito hajathibitisha kuwa hayumo chadema labda Kama atafanya hivyo hapo baadae nipo tutaongea mengine
  12. J

    Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

    Amechelewa,kama ni chombo cha usafiri kimeshamuacha
  13. J

    Migiro leaves UN post; forced out or chose to leave?

    Huyo ni Past Tense Material !wala haumizi kichwa
  14. J

    CHADEMA kwa hali hii bado mna maono feki ya kuishika dola mwaka 2015!

    Kiongozi,suala la uwajibikaji ni lazima liwe la kipaumbele sana ,juu ya watu AMA mtu anayekuwa kinyume na misingi ya Chama,pasipo kujari,ushawishi wake, jina la ,cheo wala pesa,hata hapa ni uamuzi sahihi sana KAMA KWELI Zito na wenzake wamekiuka utaratibu wa Chama. Sio kweli kuwa vijana wengi...
  15. J

    Wengi wenu mlioko kwenye group hii huwa hamna kazi ya kufanyaa!!!?

    Kiongozi,pole sana Huku naona wote ni ndugu,hakuna wa kumgeuka mwenzie , hii show ni yako peke yako aisee komaa nayo uimalize salama
Back
Top Bottom