Emmanuel Njile
Senior Member
- Jul 31, 2013
- 130
- 7
Msalani kumbe upo.UMETOKA KUNYA basi katawaze unanuka MAVI
Wanajamvi
Naomba kwanza nieleweke kuwa sina ukaribu wowote na kamanda Alfonce Mawazo zaidi ya kuifahamu vyema kazi anayoifanyia chadema kanda ya ziwa.
Kamanda Mawazo aliachana na kazi yake mkoani Arusha na kuhamia alipozaliwa kanda ya ziwa kuyasulubisha magamba na binafsi nimemfuatilia akikieneza chama ktk mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Simiyu na Mkoa wa Mara kwa usafiri wake binafsi.
Kamanda Mawazo aliachana na udiwani wa Sombetini kwa tiketi ya ccm na kuamua kueneza sumu dhidi ya chama chake cha zamani ccm.
Kazi anayoifanya kanda ya ziwa ni zaidi hata ya mbunge anayetoka kanda hiyo na amekuwa mahiri wa kujenga hoja hatua inayopelekea cdm kung'aa vijijini kanda ya ziwa.
Kijana huyu msomi toka busanda ana uwezo wa kulea chama kwa nafasi ya NAIBU KATIBU MKUU.
anauwezo wa kuvumilia lang'ahi laini za magamba //mfn;-akiahidiwa mil 300 cash,na mjengo kinyerezi na mshahara wa 4.ml kwa mwezi kwa miaka 5 ijayo, hataweza kuiuza cdm yetu? nahitaji majibu fasta
mkuu umeuliza swali nzuri sana. Mbona Zitto kaweza, pesa kitu kingine bana
mawazo huenda ametumwa na ccm tukimpa cheo mapema itatugharimu baadaye ushauri tusubiri mpaka muda ufike angalau hata mwaka 2014 ndo tumpe cheo...
Mawazo kiongozi wa chama??? akihama tena itakuwaje?? Huyu alikuwa TLP akaenda CCM then CDM huyu ana ugonjwa wa kuhamahama vyama
anauwezo wa kuvumilia lang'ahi laini za magamba //mfn;-akiahidiwa mil 300 cash,na mjengo kinyerezi na mshahara wa 4.ml kwa mwezi kwa miaka 5 ijayo, hataweza kuiuza cdm yetu? nahitaji majibu fasta
aahidiwe vyote hivyo kwa kipi special alichonacho yule mwalim>? yule ni malaya wa siasa zaidi ya swahiba wake Lema.
ivi kupiga kelele ndio kujua kujenga hoja? ivi kweli kwa akili yako ya mbuzi mawazo anaweza kufanya mdahalo hata na Sadifa?
Bado ni mapema sana kumwamini, huenda amekuja kwa kazi maalum unajuaje?Wanajamvi
Naomba kwanza nieleweke kuwa sina ukaribu wowote na kamanda Alfonce Mawazo zaidi ya kuifahamu vyema kazi anayoifanyia chadema kanda ya ziwa.
Kamanda Mawazo aliachana na kazi yake mkoani Arusha na kuhamia alipozaliwa kanda ya ziwa kuyasulubisha magamba na binafsi nimemfuatilia akikieneza chama ktk mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Simiyu na Mkoa wa Mara kwa usafiri wake binafsi.
Kamanda Mawazo aliachana na udiwani wa Sombetini kwa tiketi ya ccm na kuamua kueneza sumu dhidi ya chama chake cha zamani ccm.
Kazi anayoifanya kanda ya ziwa ni zaidi hata ya mbunge anayetoka kanda hiyo na amekuwa mahiri wa kujenga hoja hatua inayopelekea cdm kung'aa vijijini kanda ya ziwa.
Kijana huyu msomi toka busanda ana uwezo wa kulea chama kwa nafasi ya NAIBU KATIBU MKUU.
Wanajamvi
Naomba kwanza nieleweke kuwa sina ukaribu wowote na kamanda Alfonce
Mawazo zaidi ya kuifahamu vyema kazi anayoifanyia chadema kanda ya ziwa.
Kamanda Mawazo aliachana na kazi yake mkoani Arusha na kuhamia
alipozaliwa kanda ya ziwa kuyasulubisha magamba na binafsi nimemfuatilia
akikieneza chama ktk mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Simiyu na Mkoa wa
Mara kwa usafiri wake binafsi.
Kamanda Mawazo aliachana na udiwani wa Sombetini kwa tiketi ya ccm na
kuamua kueneza sumu dhidi ya chama chake cha zamani ccm.
Kazi anayoifanya kanda ya ziwa ni zaidi hata ya mbunge anayetoka kanda
hiyo na amekuwa mahiri wa kujenga hoja hatua inayopelekea cdm kung'aa
vijijini kanda ya ziwa.
Kijana huyu msomi toka busanda ana uwezo wa kulea chama kwa nafasi ya
NAIBU KATIBU MKUU.
Kusema kweli nimefurahi kuona kuna watu wananiwazia mema na
kuniamini,zaidi sana ni namna wanajamvi walivyochukua muda wao
kuliongelea jambo hili,ingawa kwa sasa sote tunajua chama chetu kinapitia wakati muhimu kwenye safari ya kuelekea lkulu,ni vyema sana tukajikita kwenye kukikiimarisha na kukijenga,nafasi ya uanachama bado ni uwanja mkubwa kwa mwenye nia ya dhati.
Malaya wa siasa ndio mtu wa aina gani huyo? Maana sijaona mantiki katika uchangiaji wako zaidi ya ku jaribu kutufanya Tuhisi Kama vile unavyohisi wewe....Mawazo sio size ya Sadifa,Zidisha kina Sadifa Kama Mia moja hivi,Jamaa siasa anaiweza,
Wanajamvi
Naomba kwanza nieleweke kuwa sina ukaribu wowote na kamanda Alfonce Mawazo zaidi ya kuifahamu vyema kazi anayoifanyia chadema kanda ya ziwa.
Kamanda Mawazo aliachana na kazi yake mkoani Arusha na kuhamia alipozaliwa kanda ya ziwa kuyasulubisha magamba na binafsi nimemfuatilia akikieneza chama ktk mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Simiyu na Mkoa wa Mara kwa usafiri wake binafsi.
Kamanda Mawazo aliachana na udiwani wa Sombetini kwa tiketi ya ccm na kuamua kueneza sumu dhidi ya chama chake cha zamani ccm.
Kazi anayoifanya kanda ya ziwa ni zaidi hata ya mbunge anayetoka kanda hiyo na amekuwa mahiri wa kujenga hoja hatua inayopelekea cdm kung'aa vijijini kanda ya ziwa.
Kijana huyu msomi toka busanda ana uwezo wa kulea chama kwa nafasi ya NAIBU KATIBU MKUU.
CDM na viongozi wake wanamiliki kiwanda cha uongo. Zito naye ni mmoja wenu.
Wanajamvi
Naomba kwanza nieleweke kuwa sina ukaribu wowote na kamanda Alfonce Mawazo zaidi ya kuifahamu vyema kazi anayoifanyia chadema kanda ya ziwa.
Kamanda Mawazo aliachana na kazi yake mkoani Arusha na kuhamia alipozaliwa kanda ya ziwa kuyasulubisha magamba na binafsi nimemfuatilia akikieneza chama ktk mikoa ya Mwanza,Kagera,Shinyanga,Simiyu na Mkoa wa Mara kwa usafiri wake binafsi.
Kamanda Mawazo aliachana na udiwani wa Sombetini kwa tiketi ya ccm na kuamua kueneza sumu dhidi ya chama chake cha zamani ccm.
Kazi anayoifanya kanda ya ziwa ni zaidi hata ya mbunge anayetoka kanda hiyo na amekuwa mahiri wa kujenga hoja hatua inayopelekea cdm kung'aa vijijini kanda ya ziwa.
Kijana huyu msomi toka busanda ana uwezo wa kulea chama kwa nafasi ya NAIBU KATIBU MKUU.