unaijua historia ya mawazo au unaropokwa tu kwa vile amejiunga kwene Saccos? yule hafai hata kua mwenyekiti wa kitongoji. waulize wana sombetini alivyowatelekeza
Well said. Kmanda Mawazo si kama ZZK anaedai mwanachadema huku akifanya kazi ya ccm. Mawazo karibia kavuruga kanda ya ziwa yote.
Kusema kweli nimefurahi kuona kuna watu wananiwazia mema na
kuniamini,zaidi sana ni namna wanajamvi walivyochukua muda wao
kuliongelea jambo hili,ingawa kwa sasa sote tunajua chama chetu kinapitia wakati muhimu kwenye safari ya kuelekea lkulu,ni vyema sana tukajikita kwenye kukikiimarisha na kukijenga,nafasi ya uanachama bado ni uwanja mkubwa kwa mwenye nia ya dhati.