Mpumbavu NI Wewe Mtuma Post Sio Wabunge Wa CCM, we Unataka Waseme Unalotaka Wewe???.
Unataka Watoe Mawazo ya Ukawa???
Kama Kuibana Serikali,Wanaibana Pale Inapostahili Sio Lawama Zisizo Na Mpangilio Kama Wabunge wa UKAWA, Ambao Wanageuza Bunge Uwanja wa Kampeni Badala ya Kujadili Bajeti.