Recent content by john shayo

  1. J

    Askofu akerwa aina ya upigaji kura wa sasa

    SIO KWELI UZUSHI
  2. J

    Hotuba ya Kikwete imeharibu kabisa ufungaji wa kampeni za Magufuli

    Hotuba Haina Makosa Hata Kidogo Labda Kama Unaiangalia KISIASA , Hakuwa Anahutubia Mkutano Wa INJILI Bali wa KISIASA na Amesema Ukweli TUNDU LISSU Alitaka Aseme Ukweli Leo KASEMA
  3. J

    Lowassa ni balaa. Nchi za Ulaya na Amerika zaonya. CCM ilionywa mapema, ikamkata

    Hazijawahi Kulalamikia CCM Kula Rushwa, Msaada wa MCC Juzi Wamesema Serikali Imepasi Kigezo Cha Kupambana na Rushwa.
  4. J

    GE2015 Kulinda kura: Wakili Peter Kibatala afungua kesi Mahakama Kuu

    Jaribuni Na Kibri Chenu Cha Kijinga Tuone Kama Huyo Mbowe Atakuja Wasaidia Deki Vyoo vya Selo Asubuhi
  5. J

    GE2015 Kulinda kura: Wakili Peter Kibatala afungua kesi Mahakama Kuu

    Nguli wa Nini Hana Unguli Wowote huyo Kwa Vikesi Mbuzi Hivi Ndio Nguli???😂😂😂
  6. J

    UKAWA watangaza rasmi kususia vikao vyote vya Bunge vilivyobaki kutokana na ukiukwaji wa kanuni

    Wacha Waondoke Nchi Haiwezi Endeshwa Kwa Ultimatums , Wakashtaki na CCM Itakwenda Kuwaambia Ukweli Wananchi EBO! Walisusia Katiba Halafu??
  7. J

    Dk. Slaa apewa uchifu wa Dar kuikomboa Tanzania

    Akaikomboe Familia Yake Aliyoitelekeza Ndio Akomboe Familia Zingine Za Watanzania. "Charity Begins at Home..."
  8. J

    Mbunge wa Zanzibar Kammaliza Tundu Lissu leo Bungeni

    Hajielewi na Wala Si Mjuvi wa Sheria, Anachofanya NI Kuangalia Kesho Kunajadiliwa Nini Na Akajiandaa na Mengine Anapewa na Wanaharakati, NGOs zinazoipinga Serikali Kimya Kimya Ili Ayaseme. Wasoelewa Wanadhani Yote Yake , Hakuna Lolote. Debe Tupu.
  9. J

    Mh. Lowassa na team reject

    Mkuu Fafanua Waliponzwa Na Kikwete Vipi Yeye NDIO Aliwatuma Wafanye Madudu??? Tupe Ushahidi Sio HISIA ZA Uhusika wa JK.
  10. J

    Lowassa: Sihusiki na Richmond, ilitungwa kunichafua. Sitohama CCM!

    jk alikuwa sahihi kuanza na kilimo ndio ajira ya watanzania wengi ukifanikiwa ktk kilimo utapata fedha za kuboresha elimu na wakulima watapata kipato cha kusomesha watoto wao.
  11. J

    Temeke mtuazime Mbunge wenu walau kwa miaka mitano tu

    umesema kweliiii mbunge wetu bongo lala wakati wa kijani walau ilikuwa inapitishwa greda kila wakati sasa hivi hakuna
  12. J

    Wabunge wa CCM aibu

    Mpumbavu NI Wewe Mtuma Post Sio Wabunge Wa CCM, we Unataka Waseme Unalotaka Wewe???. Unataka Watoe Mawazo ya Ukawa??? Kama Kuibana Serikali,Wanaibana Pale Inapostahili Sio Lawama Zisizo Na Mpangilio Kama Wabunge wa UKAWA, Ambao Wanageuza Bunge Uwanja wa Kampeni Badala ya Kujadili Bajeti.
Back
Top Bottom