Recent content by John Mwaisengela

  1. J

    JamiiForums Tanzania Wizara ya elimu mchukulieni hatua mwalimu Shabani kwa unyanyapapaa kwa sikieni kilicha binti yangu Ngeruke Kondo

    Labda ungeweka taarifa vizuri ni shule gani na ipo wapi
  2. J

    JamiiForums Tanzania TRA wahusike pia kugawa mapato.

    Nimekuelewa Ndg kwamba kwa kiasi tra wameaminika zaidi na unashauri kwa kuaminika huku wapewe jukumu hili.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Hili la Kutaka Ma Bus yote yaingie MAGUFULI BUS TERMINAL , ningekupongeza bwana Chalamila

    Nilitarajia ungeanza na ushauri wa kuondoa malori ambapo Dar yote imekuwa ICD sababu bi hatari mno yale malori yanapopita na kontena na kusababisha pia foleni. Mimi niombe sana Serikali ilitazame hili la mabasi maana abiria tunateseka mfano mtu kwa sasa ambaye anaishi sinza au Tabata au Magomeni...
  4. J

    JamiiForums Tanzania TRA wahusike pia kugawa mapato.

    kwanza kabisa labda nikusaidie TRA wamepewa jukumu la kukusanya tu. Na fedha hizi zinakwenda moja kwa moja kwenye mfuko au akaunti zilizopo Benki Kuu ya Tanzania.Hilo ndilo jukumu lao kuhakikisha kodi inakusanywa kwa mujibu wa sheria zilizopo na kufikisha benki kuu. Bunge kazi yake kubwa ni...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Tunaunga mkono kwa kauli ya RC kurudisha mabasi yote katika stendi ya Magufuli Mbezi

    Mimi kwa hili bado nashauri kilichopo sasa sio tatizo kwani tukumbuke abiria wengi hawatoki Mbezi abiria wanatoka mbali na mbezi na wengine wanawatoto. Kualazimisha stendi mbezi ni kuzidi kuwaongezea abiria mzigo wa garama. Kama ni mapato kwani hizo stendi binafsi hakuna malipo wanayolipa kwenye...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Mbona misafara ya marais ya nchi zilizoendelea sio kama misafara ya marais ya nchi za Afrika

    Ndg Amatara. Sidhani kama hii ni kweli sababu fatilia utagundua hata hizo nchi ulizozisema nao misafara ni mukubwa sema wenzetu uchumi wao haina impact sana. Tafuta kiongozi wa Marekani, Urusi, China , India, Pakistani, Ujerumani utaona ni hivi hivi . Nchi pekee ambazo nimekuwa nazishangaa...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) katika maadhimisho ya miaka 30 yake

    Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), napenda kuchukua fursa hii kutoa pongezi za dhati kwa viongozi, menejimenti na wafanyakazi wote wa TRA kwa kazi kubwa na mafanikio yaliyopatikana katika kipindi chote cha miaka hiyo. Kwa hakika, miaka...
  8. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini walinzi wa Magufuli walikuwa wanavaa sare za CCM wakati wa kampeni za Uchaguzi Mkuu 2020?

    Kwa ufahamu wangu walivaa vile kwanza ni kujaribu kuficha uwepo wao kirahisi na siyo tu kwenye kampeni hata ikiwa sherehe za mwenge wapo wanaovaa sare kama wanakamati ya kuratibu mwenge. Jukumu la ulinzi wa viogozi siyo rahisi kama wengi tunavyodhania na ndiyo maana hawa walinzi hawana mchezo...
  9. J

    JamiiForums Tanzania Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Ili usajiliwe VAT ni kweli kuna watu wa aina tatu !: Uwe unauza bidhaa au uduma zinazotozwa kodi ya VAT 2: Unajihusisha na huduma za kitaalamu 3: Unatarajia kufanya biashara yenye kodi ya vat ambpo mwisho wa siku utaikia kiwango hicho cha usajil yaani 200 mlioni. Sasa ushauri fika TRA ambapo...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Wakuu nimeitwa TRA. Usalama upo kweli?

    Mimi hua nawashangaa watu unapigiwa tu simu unakurupuka kwendaukiona hivo jua unatatizo ama la akili au kazi zako ni chafu.Huwezi kuwa makini ukawa na wasiswasi. Sasa kwa nini hukuwauliza mawali hayo huko huko? Navyofahamu tra mpaka wakute utakuta kwanza walishafanya makadirio hujalipa au...
  11. J

    JamiiForums Tanzania Lengo la kuanzishwa TAKUKURU lilikuwa ni nini?

    Kikosi cha Kuzuia Rusha enzi hizo ni kikosi ambacho kilianzishwa miajka ya 70 kama sitakuwa nimeshau na Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere kwa lengo la kuzuia rushwa. Kikosi hiki ambacho ofisi zake zilikuwa Mtaa wa Milambo kilifanya kazi zake kwa weledi sana na ninawakumbuka viongozi wa wakati...
  12. J

    JamiiForums Tanzania KERO Nikidai risiti ya EFD naambiwa bidhaa itapanda bei

    Kuna bidhaa zingine hazina VAT na zingine kweli zina VAT. Wanachofanya ni kukuzuga ili ukatae risiti . Ila kumbuka kama wewe ni mfanyabishara itakuwa imekula kwako ukikataa risiti maana kwenye hesabu zako utakosa ushahidi wa matumizi yako ya biashara. Kama ni VAT na wewe siunakuja uza na VAT na...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Godbless Lema ampongeza Kitila Mkumbo

    Tatizo kubwa wengi tunaona kama kuwa upinzani ni uadui au kuwa na rafiki na mtu wa chama tawala ni msaliti. Sisi sote ni ndugu ila kila mmoja wetu ana mawazo tofauti na mwenzio na pia ana mapenzi ya itikadi ya chama flani. Haya yote yasifanye undugu wetu wa miaka na miaka kugawanyika kisa...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Heko TRA kwa kuwaumbua machawa kuhusu miradi.

    Nami niungane na wewe ni kitu kizuri walau sasa tumeweza jua kodi yetu nini ilichofanya maana tulizoea kuona barabara hii imejengwa kwa msaada wa kodi za Wamerekani. Nashauri TRA pia kama wakiweza waweke mabango miradi yote iliyojengwa na kodi zetu ili tufahamu na kujivunia cha kwetu. Hongereni...
  15. J

    JamiiForums Tanzania TRA: Wafanyabiashara wa Mitandaoni mjisajili Ndani ya Mwezi Mmoja!

    Bora maana biashara wote tulipe kodi siyo wengine kwa kuwa tupo kwenye maduka ndiyo tulipe tu. Uzuri biashara zinatakiwa tulipe kodi sioni cha ajabu dunia sasa hivi inaenda kidigitali naona na kodi nayo inakusanywa kidigitali hongereni tra.
Back
Top Bottom