kwanza kabisa labda nikusaidie TRA wamepewa jukumu la kukusanya tu. Na fedha hizi zinakwenda moja kwa moja kwenye mfuko au akaunti zilizopo Benki Kuu ya Tanzania.Hilo ndilo jukumu lao kuhakikisha kodi inakusanywa kwa mujibu wa sheria zilizopo na kufikisha benki kuu. Bunge kazi yake kubwa ni...
Mimi kwa hili bado nashauri kilichopo sasa sio tatizo kwani tukumbuke abiria wengi hawatoki Mbezi abiria wanatoka mbali na mbezi na wengine wanawatoto. Kualazimisha stendi mbezi ni kuzidi kuwaongezea abiria mzigo wa garama. Kama ni mapato kwani hizo stendi binafsi hakuna malipo wanayolipa kwenye...
Ndg Amatara. Sidhani kama hii ni kweli sababu fatilia utagundua hata hizo nchi ulizozisema nao misafara ni mukubwa sema wenzetu uchumi wao haina impact sana. Tafuta kiongozi wa Marekani, Urusi, China , India, Pakistani, Ujerumani utaona ni hivi hivi . Nchi pekee ambazo nimekuwa nazishangaa...
Katika kuelekea maadhimisho ya miaka 30 tangu kuanzishwa kwa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), napenda kuchukua fursa hii kutoa pongezi za dhati kwa viongozi, menejimenti na wafanyakazi wote wa TRA kwa kazi kubwa na mafanikio yaliyopatikana katika kipindi chote cha miaka hiyo.
Kwa hakika, miaka...
Kwa ufahamu wangu walivaa vile kwanza ni kujaribu kuficha uwepo wao kirahisi na siyo tu kwenye kampeni hata ikiwa sherehe za mwenge wapo wanaovaa sare kama wanakamati ya kuratibu mwenge. Jukumu la ulinzi wa viogozi siyo rahisi kama wengi tunavyodhania na ndiyo maana hawa walinzi hawana mchezo...
Ili usajiliwe VAT ni kweli kuna watu wa aina tatu
!: Uwe unauza bidhaa au uduma zinazotozwa kodi ya VAT
2: Unajihusisha na huduma za kitaalamu
3: Unatarajia kufanya biashara yenye kodi ya vat ambpo mwisho wa siku utaikia kiwango hicho cha usajil yaani 200 mlioni.
Sasa ushauri fika TRA ambapo...
Mimi hua nawashangaa watu unapigiwa tu simu unakurupuka kwendaukiona hivo jua unatatizo ama la akili au kazi zako ni chafu.Huwezi kuwa makini ukawa na wasiswasi. Sasa kwa nini hukuwauliza mawali hayo huko huko?
Navyofahamu tra mpaka wakute utakuta kwanza walishafanya makadirio hujalipa au...
Kikosi cha Kuzuia Rusha enzi hizo ni kikosi ambacho kilianzishwa miajka ya 70 kama sitakuwa nimeshau na Hayati Baba wa Taifa Mwl Nyerere kwa lengo la kuzuia rushwa. Kikosi hiki ambacho ofisi zake zilikuwa Mtaa wa Milambo kilifanya kazi zake kwa weledi sana na ninawakumbuka viongozi wa wakati...
Kuna bidhaa zingine hazina VAT na zingine kweli zina VAT. Wanachofanya ni kukuzuga ili ukatae risiti . Ila kumbuka kama wewe ni mfanyabishara itakuwa imekula kwako ukikataa risiti maana kwenye hesabu zako utakosa ushahidi wa matumizi yako ya biashara. Kama ni VAT na wewe siunakuja uza na VAT na...
Tatizo kubwa wengi tunaona kama kuwa upinzani ni uadui au kuwa na rafiki na mtu wa chama tawala ni msaliti. Sisi sote ni ndugu ila kila mmoja wetu ana mawazo tofauti na mwenzio na pia ana mapenzi ya itikadi ya chama flani. Haya yote yasifanye undugu wetu wa miaka na miaka kugawanyika kisa...
Nami niungane na wewe ni kitu kizuri walau sasa tumeweza jua kodi yetu nini ilichofanya maana tulizoea kuona barabara hii imejengwa kwa msaada wa kodi za Wamerekani. Nashauri TRA pia kama wakiweza waweke mabango miradi yote iliyojengwa na kodi zetu ili tufahamu na kujivunia cha kwetu. Hongereni...
Bora maana biashara wote tulipe kodi siyo wengine kwa kuwa tupo kwenye maduka ndiyo tulipe tu. Uzuri biashara zinatakiwa tulipe kodi sioni cha ajabu dunia sasa hivi inaenda kidigitali naona na kodi nayo inakusanywa kidigitali hongereni tra.
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imewaita wale wote ambao wamefaulu usahili wa mahojiano. Wakati huo huo TRA imemshukuru Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuruhusu kuongezwa nafasi zingine 300 katika ajira hii.
Kwa mtazamo wangu hapa wanazungumziwa walipakodi katika nyanja zote maana kuna kodi zinazolipwa tra na ambazo hazilipwi tra. inawezekana kabisa tra wakawa wanavuka malengo ila baadhi ya sekta zingine walipa kodi wakawa hawapo. mfano kuna mtu anaweza kuwa na kampuni akawa analipa kodi au tozo au...
Tusiangalie uzembe kwa kusema madereva tuu barabara watumiaji ni wengi hata watembea kwa miguu wapo ambao pia wanauzembe. Sasa hiyo njia itafungwa maisha? Ilejengwa ya nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.