Recent content by john mandela

  1. john mandela

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Vp kuhusu soko ni la kutafuta au ni very open !??
  2. john mandela

    Natafuta shamba la kukodi kwa ajili ya kilimo Morogoro

    Una wazo zuri sana ndugu lakin sh milion moja haitatosha kwa kilimo cha mchele, ufuta, mahind na maharage labda kama umekusudia zao moja kati ya hayo..
  3. john mandela

    Chumba na sebule kinapangishwa

    150,000 Hicho chumba na sebure au nyumba!???
  4. john mandela

    Mchungaji Antony Lusekelo 'Mzee wa Upako' afunguka baada ya kashfa

    Kuhusu jewelry vp !?? mbona unamezea ilo aujibu
  5. john mandela

    Wapi nitapata Bata Mzinga?

    25,000 elfu bata
  6. john mandela

    Sijawahi kujihusisha na uchawi, Je! naweza kulogeka?

    Sio kweli watu wakiamua kukushughulikia wanakushughulikia vyema tu hayo mambo ya hofu ukiona hivyo we ushajikinga kwa njia nyingine
  7. john mandela

    Mchungaji Antony Lusekelo 'Mzee wa Upako' afunguka baada ya kashfa

    Alaf hii ya kakobe nilisikia juu juu hivi ilikuaje!?? Na sasa hivi yupo wap!?? Kashfa yake nilisikia kuna chumba chake cha siri kuna muumini ameingia basi mambo ndo yakawa tafrani lakin nasikia yule alieingia hicho chumba amesha dedishwa
  8. john mandela

    Sijawahi kujihusisha na uchawi, Je! naweza kulogeka?

    Umetoa maelezo marefu kama gazet la siasa lakin sijaona point...Mtoto mdogo asieujua uchawi hawezi kuwa na hofu ya kulogwa lakin mbona wanalogwa
  9. john mandela

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Changamoto zisingekuwepo kila mtu angelima , tupo dunian kwa ajiri ya kuzikabiri changamoto na kukata tamaa sio busara Hata shetani ana changamoto zake
  10. john mandela

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Ugumu wake nini mkuu!?? Na unafanyia kilimo wap!??
  11. john mandela

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Kiaz kinakubari kwenye ardh ya njombe, rushoto , mbea ...Hari ya hewa pia ya maeneo hayo niliyokutajia inafanana
  12. john mandela

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Hiyo bei ya kwa mkulima ndugu naielewa mi nasema bei ya kuuza dar es salaam ni 80,000... na ukitumia kilimo cha umwagiliaji unapunguza risk pia mbolea inahusika ili kukuza vizuri na kisishambuliwe na wadudu... Alaf pia hata mtu ukiwa raisi wa nchi sio kwamba wewe utakula raha tu ya madaraka pia...
  13. john mandela

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Google ndugu achana na ubishi...Hiphop artist wa kwanza bilionea ni dr. Dree angalia anamiliki kias gani na kwanini asiitwe trilionea
  14. john mandela

    Nimepata milioni 50, nifanyie biashara gani niwe milionea?

    Ukimiliki milion 100 wewe sio milionea ili uwe milionea unatakiwa uvuke tamko la milion yan namaanisha uwe na angalau bilion moja
Back
Top Bottom