Umetoa maelezo marefu kama gazet la siasa lakin sijaona point...Mtoto mdogo asieujua uchawi hawezi kuwa na hofu ya kulogwa lakin mbona wanalogwaIPO hivi umeme hauwezipenya kwenye kizuizi mfano plastics au Mbao ,lzm kuwe na kiunganishi( hofu,woga,kutenda dhuluma nk maouvu yote).uchawi upo uamini usiamini lkn ili ukudhuru ni lazima uwe na connection yaani kwanza ni lazima uwe na uoga au hofu ya kuamini katika kurogwa,huwezi logeka km hauamini ktk ulozi,hakuna MTU mwenye uwezo wa kumloga MTU isipokuwa anaerogwa lazima aamini ya kuwa anaweza logwa au anaejihusisha na mambo ya kishirikina kuwa mchawi au kwenda Kwa waganga au kujihusisha na mambo ya madawa pale unakuwa umeweka connection, yaani kuruhusu wwe kuunganika na nguvu hasi unaziruhusu mwenyewe kujidhuru,ndo maana mchawi usumbua waoga akiingia ndani ukaogopa akutishapo ndo Furaha yake, lkn akiingia ukawa unamuangalia tu unamuacha afanye yake hawezi rudi tena,kinga ya uchawi ni kushikamana na imani yako ya dini,au kuyapuuzia kutoyaamini mambo ya kishirikina unaishi Kwa amani.Mifano hai wengine tumerogwa tangu hatujazaliwa had leo tunarogwa lkn mambo yetu yanatunyookea ni Kwa sababu atuamini hayo.Cha kukusaidia tafuta Vitabu au elimu za nguvu za asili uone zitendavo Kazi .power of positive thinking. Ungekuwa na nguvu ungeweza kuwasaidia waafrica wasichukuliwe utumwani au kutawaliwa na wakoloni ,lkn hawakurogeka sababu wale hawakuamini ktk uchawi.
Ndio analogeka kupitia udhaifu wa nafsi ya wazazi wake Kwa hio wazazi ndo huwa connection km ujuavo uchawi hauwezipita Kwa MTU lazima kuwe na connection ya imani ya kurogeka.Ndo maana nilikupa mfano wachawi wangekuwa na nguvu ya kuroga wasioamini wangeweza kuwaroga wakoloni wakadhurulika lakini hawakurogeka sababu uchawi aupiti Kwa asiyeuamini,we unalogeka sababu tayari unahofu ambayo misingi yake ilipandikizwa kwako kupitia mazingira uliyokulia au unayoishi,sababu uchawi ustawi zaid penye ufinyu mdogo wa elimu na hofuUmetoa maelezo marefu kama gazet la siasa lakin sijaona point...Mtoto mdogo asieujua uchawi hawezi kuwa na hofu ya kulogwa lakin mbona wanalogwa
Sio kweli watu wakiamua kukushughulikia wanakushughulikia vyema tu hayo mambo ya hofu ukiona hivyo we ushajikinga kwa njia nyingineNdio analogeka kupitia udhaifu wa nafsi ya wazazi wake Kwa hio wazazi ndo huwa connection km ujuavo uchawi hauwezipita Kwa MTU lazima kuwe na connection ya imani ya kurogeka.Ndo maana nilikupa mfano wachawi wangekuwa na nguvu ya kuroga wasioamini wangeweza kuwaroga wakoloni wakadhurulika lakini hawakurogeka sababu uchawi aupiti Kwa asiyeuamini,we unalogeka sababu tayari unahofu ambayo misingi yake ilipandikizwa kwako kupitia mazingira uliyokulia au unayoishi,sababu uchawi ustawi zaid penye ufinyu mdogo wa elimu na hofu
Dawa huwa inapambana na dawa nyenzake. Kama huna dawa yoyote, hutendi dhambi, unaenda Kanisani kwa kumaanisha na kwa moyo wa dhati kabisa, unampenda Mungu (watu), hakipo kitu kinachoweza kukudhuru kutokana na uchawi. Wewe kupata madhara inabidi mpaka Mungu aridhie, hawezi kuridhia kama wewe una sifa hizo. Kitachotokea ni kwamba wewe ndiyo utakuwa unaonekana mchawi zaidi kwa hao wanojaribu kufanya ujinga wao kwako.Wakuu heshima mbele,
Nakuombeni mnisaidie sana ktk jambo hili. Mimi ninaumri wa wastani tu japo unatosha(ni kijana). Mpaka sasa, sijawahi kwenda kwa mganga kutafuta uchawi wa kujiganga, sina chale hata moja(labda ya kujikwaruza mahali tu, sio ya uganga),wala sina destiny au interest kabisa na mambo ya uchawi mpaka sasa.
Ninaimani yakutosha ktk dini & Mungu wangu. Pia, nimewahi sikia kuwa, wachawi au uchawi/urozi humdhuru yule ambaye kwa namna moja au nyingine naye anajishughulisha na mambo ya kiganga au amewahi kuwatembelea kina Sangoma walau!
Sijawahi fanya hivyo na sina chochote cha kiganga/kishirikina nafsini au mwilini mwangu.
Sasa je! MCHAWI ANAWEZA KUNIDHURU AU KUNIROGA? (mfano kuniwangia au kuniua).
Msaada tafadhari wanaJamvi.
Ni kweli. Sometimes (not all the time) imani bila shule inaweza kuwa na madhara, isipokuwa IMANIi PLUS SHULE ni CONFO zaidi ya asilimia 500!Imani na hofu no vitu viwili vinavyooahabiiana