Recent content by john kenge

  1. john kenge

    Lowassa ndani ya Geita, afanya vitu vyake

    Inakuaje ma Great Thinkers wana argue na kutuhumu watu wengine bila hoja? CCM ndio chama pekee Tanzania chenye SERA madhubuti na wanachama wenye weledi wa kutosha na kuaminika.
  2. john kenge

    Lowassa ndani ya Geita, afanya vitu vyake

    Kuwa muwazi humu JF kuna threads lukuki kuwahusu Dr Slaa,Makamba,Muhongo,Prof Mwandosya,Mnyika nk iweje za Mh EL ziwe nongwa? Heri asiye na mashaka nae!
  3. john kenge

    Lowassa ndani ya Geita, afanya vitu vyake

    Mtueleze sababu za msingi za kutomtaka na mtende haki kwa kufungua kesi dhidi yake kuhusu "WIZI" wake.
  4. john kenge

    Lowassa ndani ya Geita, afanya vitu vyake

    Tatizo sio hao 45 bali utayari wa haraka watu zaidi ya 1000 waliotaka kuwa wadhamini.Kiufupi Mh Lowassa ana ufuasi mkubwa
  5. john kenge

    Lowassa ndani ya Geita, afanya vitu vyake

    Sio kweli hata kidogo viulize vizuri vyanzo vyako vya habari:Geita hakuna katibu wa mkoa anaeitwa Musukuma
  6. john kenge

    Lowassa ndani ya Geita, afanya vitu vyake

    Ni kweli akili yangu ina tatizo huwa simhukumu mtu kisa watu wengine wanamhukumu pasipo kumchunguza.Heri yako wewe unayewaamini madaktari na sio taaluma zao.
  7. john kenge

    Lowassa ndani ya Geita, afanya vitu vyake

    =mchambuzixx Kama una uhakika na ushahidi wa watu" kula pesa"na umekaa kimya pasipo kwenda sehemu husika you are dirty than dirty itself.
  8. john kenge

    Lowassa ndani ya Geita, afanya vitu vyake

    Hata mimi Kenge kabla ya kujitambua nilikua na mtizamo kama wako lakini baada ya kuubaini ukweli nimebadilika.
  9. john kenge

    Lowassa ndani ya Geita, afanya vitu vyake

    Mpaka wakati huu dakika chache baada ya kuwasili mkoani Geita katika viwanja vya CCM tayari amekwishapata wadhamini 45. Muda si mrefu ataongea na wana Geita na wana CCM kwa ujumla. Hakika huyu anaweza kuwa suluhisho la matatizo ya Watanzania akichaguliwa kuwa Rais wa JMT.
  10. john kenge

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Lowassa wa kutangaza nia ya kugombea Urais - Arusha

    Tayari mtia nia huyu na Rais mtarajiwa wa awamu ya tano ya serikali ya JM wa Tanzania kupitia CCM amekwisha ingia uwanjani. Leo ninawaombeni watoa mada wote mashuhuri wa JF na mashabiki na wachangiaji tumpe nafasi TUMSIKILIZE akituambia kinachomsukuma kuiwania nafasi ya kuiongoza TAASISI...
  11. john kenge

    Je, haya ni kweli kuhusu Kenge?

    Dah! wewe noma hata hivyo maneno hayo huaminishwa watoto wajinga,wazururaji na wazembe ili kuwalinda.Pole sana
  12. john kenge

    Nakaribisha maswali kuhusu Tiba / Dawa

    Asante sana dokta hopefully other professionals watathubutu.Je ni sahihi kutibu UTI kwa AZUMA ya vidonge vitatu?Ubarikiwe!
  13. john kenge

    Msaada; Nini maana halisi ya Jasusi?

    I dont know who you are and i dont know what you want.If you are looking for ransom I CAN TELL YOU i have no money what i do have are particular set of skills i have acquired over a long career skills THAT MAKE ME A NIGHTMARE for people LIKE YOU.If you let my daughter go..... Ukishindwa kusoma...
  14. john kenge

    Great thinkers only!!

    jibu ni 6
Back
Top Bottom