Recent content by JOHN KAPESULA

  1. J

    Tunatengeneza na kuuza Vifungashio.

    Nahitaji kwa wingi kwa bei ya jumla siyo reja reja ili na mm nikafanye biashara,je mnaanzia pc ngapi ili niweze kuchukua kwa jumla jumla na bei yake ikoje?
  2. J

    Msaada gharama ya kutoa mashine ya kukamua alizeti bandari ya Dsm

    Kuna aina mbili za mashine ya kukamaua alizeti nimezipenda natamani niagize moja wapo toka china ndogo ni USD 1,410 na kubwa ni USD 3,280 mpaka inafika bandari yetu ya dar, hofu yangu ni kumudu gharama za kukomboa bandarini, kwa anaye fahamu anisaidie ufafanuzi wapo wanasema ushuru umeondolewa...
  3. J

    Mbunge Zimbabwe avunja rekodi ya busu Afrika

    Yataka moyo, denda for ten minutes??????
  4. J

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Poleni sana wana Familia pamoja na wadau wote wa filamu. Kweli inauma lakini hatuna jinsi Jina la Mungu libarikiwe.
  5. J

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Jamani duni aimekwisha. Ikiwa katoto kama haka kalimchnganya marehemu supa staa.
  6. J

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Acha utani ina maana maisha yako Kanumba haumfahamu? Inaonekana hata Rais haumjui!
  7. J

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Lah! inasikitisha sana! inakuwa ngumu hata kuamini kama kweli Kanumba amefariki, Mungu ialaze roho yake kipenzi cha wengi. Amin.
Back
Top Bottom