Kila kitu kilichopo angani kipo katika motion hakuna kitu kilicho stationary. Mfano dunia inajizungusha yenyewe kwa spidi ya 1,600 km/h inazunguka jua kwa spidi ya 110,000 km/h vivyo hivyo jua na sayari zake (solar system) inazunguka center ya galaksi kwa spidi ya angalau 800,000km/h na solar...
Yaan we jamaa hamna kitu kabisa, pamoja na maelezo yako hayo umejipinda weee! Sasa kama dunia ni tambarare tunawezaje kupata usiku na mchana? Muda uliopo sasa mpigie mtu aliyeko USA au Australia akwambie ni saa ngapi? Kama ni tambarare basi kungekua na mchana au usiku dunia nzima, dah! Yaan we...
Kama unaweza kupata zaidi ya laki nne ndani ya wiki 1 au 2 unataka usome nini ili upate nini? Bora usome open huku unafanya kazi au kasome mwakan, maana hata mimi natafuta hicho kibarua cha kupata hata hiyo laki nne kwa mwezi sembuse wewe kwa wiki 1 tu unapata hiyo laki nne.
Mkuu acha siasa, tunazungumzia hicho chanzo na sio uafrika au uamerika, kwani wewe unajuaje kama mimi ni mwafrika, au JF imekuwa limited kwa waafrika tuu! Fikiri nje ya boksi
Mkuu hapo ungerekebisha swali lako na au ungeweka maneno haya ".... je ilikuwaje mwamerika, Muulaya akawa mtu mweupe?" Na kwa taarifa yako kuna waafrika weupe kabisaa, na huwezi kuwatofautisha na wazungu au waarabu angalia africa kaskazini kama vile Morocco, niger, misri, Libya nk.
Watu wanakurupuka tu kusoma, hivi mnajua square meter moja ikoje? Ni sawa na sentimita 100 kwa urefu na upana kote iko sawasawa, sasa kama hujui sq mita moja ni kama choo cha kawaida chenye sq mita 2 hivi, fungukeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.