Der Spiegel
Member
- Aug 4, 2016
- 20
- 9
Dunia ni kitu kipana kidogo. Unaweza ukaiita dunia (WORLD) ukimaanisha ardhi na bahari ambavyo vinatumiwa na wanadamu katika kuigawa ndani ya mipaka ya kiutawala ya nchi mbalimbali (states, countries na nations).
Hata hivyo tafasri sahihi ya kijiografia ya neno DUNIA ni (EARTH) ambapo hapa inachukua ardhi, bahari pamoja na atmosphere. Atmosphere ni layer ya anga ya juu ya uso wa dunia yenye umbali wa wastani wa kilomita 900 na zaidi.
Hapa ndiko watu hawajawahi kuelewa vyema. Anga hiyo ina hewa za Nitrogen, Oxygen, Carbondioxide na nyingine ndogo sana. Anga hilo huwa nalo linazunguka DUNIA yetu kipindi inapokuwa inajizungusha kwenye mhimili wake (rotation) ama inapolizunguka jua (revolution).
Ndiyo maana ndege za kawaida haziwezi kuzidi anga hilo la kawaida ambalo limegawanyika na kuunda troposphere, stratosphere (na ionosphere) na exosphere. Ni warusi ndio walianza kugundua teknolojia ya kuvuka anga la dunia mwaka 1957 na kuingia anga la nje ya dunia.
Eneo hilo la nje ya Dunia ni kwa sababu haliko kwenye influence ya gravitational force ya dunia. Ukivuka anga la dunia yetu hiyo unaweza kuvutwa na kitu kingine chochote kwani eneo hilo halina gravity ya dunia.
Kwa upande wa ulimwengu ni universe yaani vitu vyote vilivyomo angani kama nyota, sayari na vimondo pamoja na vitu vingine vya kitaalam zaidi. La muhimu ni kuwa, ulimwengu ni mkubwa sana kiasi kwamba kwa kueleza tu hapa huwezi ukapata picha nzuri kwani kuna mifumo ya jua mingi, galaxies mabilioni nk, nk.
Hata hivyo tafasri sahihi ya kijiografia ya neno DUNIA ni (EARTH) ambapo hapa inachukua ardhi, bahari pamoja na atmosphere. Atmosphere ni layer ya anga ya juu ya uso wa dunia yenye umbali wa wastani wa kilomita 900 na zaidi.
Hapa ndiko watu hawajawahi kuelewa vyema. Anga hiyo ina hewa za Nitrogen, Oxygen, Carbondioxide na nyingine ndogo sana. Anga hilo huwa nalo linazunguka DUNIA yetu kipindi inapokuwa inajizungusha kwenye mhimili wake (rotation) ama inapolizunguka jua (revolution).
Ndiyo maana ndege za kawaida haziwezi kuzidi anga hilo la kawaida ambalo limegawanyika na kuunda troposphere, stratosphere (na ionosphere) na exosphere. Ni warusi ndio walianza kugundua teknolojia ya kuvuka anga la dunia mwaka 1957 na kuingia anga la nje ya dunia.
Eneo hilo la nje ya Dunia ni kwa sababu haliko kwenye influence ya gravitational force ya dunia. Ukivuka anga la dunia yetu hiyo unaweza kuvutwa na kitu kingine chochote kwani eneo hilo halina gravity ya dunia.
Kwa upande wa ulimwengu ni universe yaani vitu vyote vilivyomo angani kama nyota, sayari na vimondo pamoja na vitu vingine vya kitaalam zaidi. La muhimu ni kuwa, ulimwengu ni mkubwa sana kiasi kwamba kwa kueleza tu hapa huwezi ukapata picha nzuri kwani kuna mifumo ya jua mingi, galaxies mabilioni nk, nk.