Poleni sana kuna dada yangu mmoja juma pili moja aliingia kanisani akaambiwa michango ya leo ni kulipa kwa dola kuanzia dolla 20 ili yesu atakapo kulipa akulipe kwa dolla akasema kwa pale hana dolla akaambia kuna mtu nje atampa chanji tangu siku hiyo mpaka leo hajarudi kanisani karibuni kwetu...
Gharama za nyumba ni kati ya rand 3000 na 5000 kwa kwa mwezi na matumizi ya kula rand 2000 inatosha chakula kwa mwezi matumizi mengine juu yako mwenyewe ila kama kuishi hotel bei wastan wa rand 700 mpk rand 5000 kwa siku
Ongezeko la ujinga, mporomoko wa uchumi na ccm kuendelea kutawala.
I
_____________________________________________
Mwaka 1961-1964 tangu taifa la Tanganyika litoke kupata uhuru lilikuwa na watu milioni 10+, na 88% walikuwa ni wajinga sana, 10% walikuwa ni wajinga wastani wakati 1% walikuwa ni...
Ongezeko la ujinga, mporomoko wa uchumi na ccm kuendelea kutawala.
I
_____________________________________________
Mwaka 1961-1964 tangu taifa la Tanganyika litoke kupata uhuru lilikuwa na watu milioni 10+, na 88% walikuwa ni wajinga sana, 10% walikuwa ni wajinga wastani wakati 1% walikuwa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.