Kapilipoint
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 381
- 343
Wadau mtakumbuka tuliambiwa ili kupunguza foleni barabara ya Ally Hassan Mwinyi litajengwa DARAJA kuanzia hospital ya AGAKHAN mpaka COCO BEACH.Je ujenzi huo utaanza lini?
Wadau mtakumbuka tuliambiwa ili kupunguza foleni barabara ya Ally Hassan Mwinyi litajengwa DARAJA kuanzia hospital ya AGAKHAN mpaka COCO BEACH.Je ujenzi huo utaanza lini?
Kwani mtu akishavuta bangi huwa unamwamini anachoongea?????Wadau mtakumbuka tuliambiwa ili kupunguza foleni barabara ya Ally Hassan Mwinyi litajengwa DARAJA kuanzia hospital ya AGAKHAN mpaka COCO BEACH.Je ujenzi huo utaanza lini?
Ndio umemjibu swali???Huu uswahili ni mgumu sanaWw unawaza kutafuta nauli ukaangalie vidond a vya lisu lini utajua nchi inakwenda wapi
Visibility study= Feasibility studyVisibility study, imeshakamilika. Ila detailed engineering design inafanyiwa kazi
Kwan yule jamaa anavuta bangi ?Kwani mtu akishavuta bangi huwa unamwamini anachoongea?????
Ww unawaza kutafuta nauli ukaangalie vidond a vya lisu lini utajua nchi inakwenda wapi
Pesa za mradi wame zi allocate Chato.Wadau mtakumbuka tuliambiwa ili kupunguza foleni barabara ya Ally Hassan Mwinyi litajengwa DARAJA kuanzia hospital ya AGAKHAN mpaka COCO BEACH.Je ujenzi huo utaanza lini?
Wadau mtakumbuka tuliambiwa ili kupunguza foleni barabara ya Ally Hassan Mwinyi litajengwa DARAJA kuanzia hospital ya AGAKHAN mpaka COCO BEACH.Je ujenzi huo utaanza lini?
Tender ilishatangazwaWadau mtakumbuka tuliambiwa ili kupunguza foleni barabara ya Ally Hassan Mwinyi litajengwa DARAJA kuanzia hospital ya AGAKHAN mpaka COCO BEACH.Je ujenzi huo utaanza lini?
Mererani ukuta umeisha nenda ukaangalie. Mwaka huu mtafunga mdomoYaani kweli na ww ulikubali?
Ukuta wa Mererani umeisha funguliwa?
'Visibility study' ndio nini?Visibility study, imeshakamilika. Ila detailed engineering design inafanyiwa kazi