Recent content by John-E-Mhando

  1. John-E-Mhando

    Rais Magufuli zaidi ya kauli za kibabe ana nini kingine?

    1.'kolapshen' is cancer 2.not to zat extent,
  2. John-E-Mhando

    Tanzia: Aramu Kaigwe, Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi jimbo la Kasulu Vijijini, auawa kwa kukatwa mapanga

    poleni-sana,,, kwa kweli inasikitisha sn kuona nchi imevamiwa na wasiojulikana,,
  3. John-E-Mhando

    Ya Kikwete yanafurahisha

    hata umkosoe vipi hajui kuchukia wala hakua mtu wa chuki na visasi,, alikua anafahamu wakosoaji na wanaomsifia wote ni ndugu wenye nia njema ingawa wanatumia njia/mbinu tofauti kujenga hoja zao
  4. John-E-Mhando

    CHINA: Bunge lapitisha kuondolewa kwa ukomo wa mihula ya Urais. Xi Jinping kutawala maisha

    haaaa tusubiri makampuni ya demokrasia kutoka china kuja afrika kuwekeza
  5. John-E-Mhando

    Nkurunziza atangazwa kuwa kiongozi wa maisha CNDD/FDD

    trump alikua sahihi kabisa sht-hl
  6. John-E-Mhando

    Richard Mabala: Viroba vya madaraka

    hahahaha!! utasikia anaambiwa anachanganya fasihi na 'siasa'
  7. John-E-Mhando

    Wassira: Natamani kucheza mchezo wa Biko

    mmh vyuma-vimekaza haswaa, kama msumeno unakata kote kote
  8. John-E-Mhando

    Bungeni Dodoma: Wabunge watatu wateule wala kiapo cha uamnifu

    sitarajii jambo lenye tija kutoka bunge hili
  9. John-E-Mhando

    Kitu gani kilikufanya ukaachana na mpenzi uliempenda sana?

    mkorogo alinifanya nisimtamani tena maana aaagh alipoteza uzuri wake daah
  10. John-E-Mhando

    Kati ya wanaume na wanawake akina nani wanaongoza kujiua kwa sababu ya mapenzi?

    wanaume hasa ambao hawajajeruhiwa na mapenzi, wanawake ni makauzu mioyoni mwao
  11. John-E-Mhando

    Je Unakumbuka Ulimpataje/Mlikutanaje na Mpenzi/mke/mme wako?

    kipindi chuo alipata sup akaniomba niwe namfundisha getoni kwake aah uvumilivu ulinishinda
  12. John-E-Mhando

    Wanaume mnatumia vibaya neno "Nakupenda" katika mapenzi

    mwanamke naempenda hua namtreat kama simpendi ila ambae simpendi hua namtreat kama nampenda sn kumbe ndo nasepa ivo
  13. John-E-Mhando

    Mtanzania anayekubali maneno ya Trump yeye ndiyo Shithole

    kwa mambo yanayofanyika afrika maonezi, kubadili katiba, kung'ang'ania madaraka, kubaguana, kiki zisizo na tija, trump yupo sahihi kabisa
Back
Top Bottom