Recent content by John champhene

  1. J

    Una kumbuka hii enzi za video 1 mtaa mzima.cheki dirishan mnavyo banana!

    Dah kila mtu kaanzia mbali.Tuliwahi kupigwa picha na mwandish wa magaz,kisa katika pilika mtaani alitukuta tuna chabo video.mwaka 1988 moro boma road.je wewe unakumbuka nini enzi izo. .
  2. J

    Hii haibu kubwa mama m2 mzima kufanya hivi.

    Japo kimombo sifaham ila dhic ishu iz truu mjimama mchawi kaingia kusiko ingilika.(ANA MIKALIO HIYOO! Adi raaa
  3. J

    Hii haibu kubwa mama m2 mzima kufanya hivi.

    Jaman hapa nilipo nipo moro town.mama m2 mzima kakutwa uchi wa mnyama ana wanga istoshe wa hapa mtaan.Watoto zake wakubwa wapo ndan ya umati wao wanalia
  4. J

    Prado mpya ime ibwa muda huu na mwanamke kahaba.

    Jamaa hakika pasaka itakuwa chungu leo na ukumbusho kesho na kesho kutwa baada ya kuibiwa gari na changudoa hapa maeneo xa kaumba bar mjini moro.jamaa alikuja peke yake bar,ila kuna madada wanajiuza hivyo aka mchukua m1 ili aburudike nae sasa wakawa wamekaa wana kunywa kwanza.jamaa si...
  5. J

    Muuaji wa Padri Evarist Mushi Akamatwa kwa msaada wa picha iliyochorwa na FBI

    Hii ripoti ni ya F.B.I. Au ni ya mapolisi wetu galagaja?. Polisi wetu hawakawii kumdakisha mtu kesi ,ili wapate ujiko.For this think twice!
  6. J

    Naamini mume anapatikana popote..basi nam natafuta mume ishaalah...

    Kama ni mkweli .nitumie kwenye hii n3jajmc@yahoo.com.Nipatie namba yako ili tuwasiliane nnje ya mitandao ya internet
  7. J

    Kama wewe ungelifanyaje?

    Shekhe alikuwa anakatiza mtaan,Punde akamwona mtoto mdogo yupo getin ameshindwa kubonyeza shwich ya kengele.Shekh kwa uruma ikabidi ambebe yule mtoto akabonyeza kengele.baada ya hapo akamwuliza mtoto je,kuna lingine nikusaidie.Mtoto akamwambia shekhe tukimbie wenyewe wakuja asa hivi.
  8. J

    Kifo sio mchezo.tiririka na hii

    Majambazi wali vamia familia 1.baada kukosa hela wakataka kuua m2 na mke.jambaz aka muuliza mwana mke, jina lako nani?.Mke aka jibu eliza, jambaz akasema nime kusamee kukuua kwani hata mama yangu ana itwa eliziza.jambazi lika mfuata mume,haya na ww unaitwa nani,Mume akajibu kwa upole sana mie...
  9. J

    Kijana anaefanya kazi ya ubaharia

    Labda kitandani kwake akuna shockupzober
  10. J

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Kwa upande wa wanyama na mimea ambayo ukikosea tu umetukana. KIMA ,NYEGELE ,kungu, bimbilisa kimba ,kudu ,komamanga,mmavimavi,msele mwitu.
  11. J

    Tupia majina ya sehemu ambayo ukiyasikia huwa unacheka

    Yaaan ukikosea umetukana.MATOMBO ,MKUYUNI ,MSENGEKENU .SOFI MAJIJI, MWAYA ,MTAMBA KIYEGEA,TUNGI ,KINOLE MAGOGONI) Hiyo ndo morogoro. Runzewe kap lanyege.kitope road
  12. J

    SMS hizi! Ungefanyaje?

    Jamaa walikuwa wanapiga stor,mambo yakawa iv'Semeni yoote mwisho ni kwa kikwete ninomaaa yaaan anatisha .mpita njia kauliza kafanya nini rais we2.jamaa si kakubali kule yukei hivyo kasain.Hayaa tumeolewa.
  13. J

    Mugabe amuumbua Larry King wa CNN

    Kama yeye na mwona.kudadadeki yaan umepatia.kama watu awaamini wakamwulize morgan tshangirai.
  14. J

    Mugabe amuumbua Larry King wa CNN

    Hiyo kaliii mkuu unatisha
  15. J

    umbea mbaya.

    Tehe..... tehe.... tehe...
Back
Top Bottom