Dah kila mtu kaanzia mbali.Tuliwahi kupigwa picha na mwandish wa magaz,kisa katika pilika mtaani alitukuta tuna chabo video.mwaka 1988 moro boma road.je wewe unakumbuka nini enzi izo. .
Jaman hapa nilipo nipo moro town.mama m2 mzima kakutwa uchi wa mnyama ana wanga istoshe wa hapa mtaan.Watoto zake wakubwa wapo ndan ya umati wao wanalia
Jamaa hakika pasaka itakuwa chungu leo na ukumbusho kesho na kesho kutwa baada ya kuibiwa gari na changudoa hapa maeneo xa kaumba bar mjini moro.jamaa alikuja peke yake bar,ila kuna madada wanajiuza hivyo aka mchukua m1 ili aburudike nae sasa wakawa wamekaa wana kunywa kwanza.jamaa si...
Shekhe alikuwa anakatiza mtaan,Punde akamwona mtoto mdogo yupo getin ameshindwa kubonyeza shwich ya kengele.Shekh kwa uruma ikabidi ambebe yule mtoto akabonyeza kengele.baada ya hapo akamwuliza mtoto je,kuna lingine nikusaidie.Mtoto akamwambia shekhe tukimbie wenyewe wakuja asa hivi.
Majambazi wali vamia familia 1.baada kukosa hela wakataka kuua m2 na mke.jambaz aka muuliza mwana mke, jina lako nani?.Mke aka jibu eliza, jambaz akasema nime kusamee kukuua kwani hata mama yangu ana itwa eliziza.jambazi lika mfuata mume,haya na ww unaitwa nani,Mume akajibu kwa upole sana mie...
Jamaa walikuwa wanapiga stor,mambo yakawa iv'Semeni yoote mwisho ni kwa kikwete ninomaaa yaaan anatisha .mpita njia kauliza kafanya nini rais we2.jamaa si kakubali kule yukei hivyo kasain.Hayaa tumeolewa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.