Recent content by john b kimatare kimaro

  1. J

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu aingia Ngorongoro na kupokelewa kwa kishindo

    ANAJUA TARATIBU NA SIO MATANGO PORI TULIYOKUWA TUNALISWA. YEYE ANAONGELEA KWA UELEDI WA KISHERIA
  2. J

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu, unaweza kuthibitisha tuhuma za wizi dhidi ya Samia Suluhu Hassan?

    yuko sawa kabisa kuhoji au ulitaka aseme kwa maneno gani? Uovu lazima usemwe kwa uwazi n sio kumungunya mungunya
  3. J

    JamiiForums Tanzania Serikali yasaini mkataba wa Bilioni 30 kukarabati Uwanja wa Benjamin Mkapa

    watu wamepata chaka la kupiga pesa
  4. J

    JamiiForums Tanzania CCM inatumia propaganda za udini na ukabila kukabiliana na vyama Makini vya upinzani

    Kwa miaka sasa ccm wamekuwa wakihubiri udini kila wanapokuwa wamebanwa na wanaharakati na vyama pinzani ila tujiulize je hili jambo linamadhara ya kiasi gani kwa jamii. Mimi mkristo washikaji wangu wengi waislamu ila tangia naishi nao kitaa hatujawah kubaguan sikuu tunakula pamoja na kucheza...
  5. J

    JamiiForums Tanzania Markerting segmentation

    Marketing segmentation is an essential tool in marketing used by the marketers to make investments decision. WHAT DOES IT MEAN? Marketing segmentation is the process of dividing(segment) market into a different groups with a common traits. It is very important to underline which segment will...
  6. J

    JamiiForums Tanzania Jezi zozote hutengenezwa kulingana na uwezo wa walaji(wanunuzi)

    Mashabaki wengi huwa wanapenda kulalamika kuwa jezi sio bora ila leo napenda kuwapa neno kidogo. Jezi zozote hutengenezwa kulingana na uwezo wa walaji(wanunuzi) ni kama simu tu jinsi tunavyoona zinavyouzwa kwa bei tofauti n hapo kinachotofautiza bei ni quality. Huwez kupata high quality jersey...
  7. J

    JamiiForums Tanzania Askofu Maximillian Machumu: Mkataba wa Bandari tunasema HAPANA

    ukweli ni mchungu ila kuna muda inabidi usemwe bila kumungunya maneno. Mkataba wa bandari ni mkataba wa kikoloni, kifisadi na kinyonyaji
  8. J

    JamiiForums Tanzania Mbarikiwa Mwakipesile: Malaika uliyemtia adabu farao pita CCM, Polisi, Serikalini

    KANISA LA KWELI NA MCHUNGAJI MKWELI NI YULE ANAYEKEMEA MAOVU HADHARANI NA SIO KUFUNGAMAN NA VIONGOZI ILI KUPATA SHEKELI
  9. J

    JamiiForums Tanzania Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

    SASA WAZEE WANAKUAMBIA kuna nchi ilikuwa inaitwa chagga hayo mengine tafuta tafuta Unganisha goti kipindi cha sukari kuzuiwa kwenda uchagani walitishia kujitenga raisi akiwa Jk
  10. J

    JamiiForums Tanzania Ni ipi siri ya Wachaga kuwa kabila lililoyaacha makabila mengine mbali mno kwenye mafanikio?

    KUNA KITU KINAITWA CHAGGA LAND ULISHAWAHI KUSIKIA? UGOMVI WA WACHAGGA NA NYERERE UNAUELEWA?
  11. J

    JamiiForums Tanzania Katiba kibogoyo

    Misingi yote na nchi na utawala huwekwa kwenye katiba ila pale ambapo katiba haina meno basi ni maarafa kwa nchi husika. Katiba ni msingi wa kila jambo kuanzia uwajibikaji na utunzaji wa rasilimali za nchi. Tujiulize ni viongozi wangapi wanaitia hasara serikali kwa either kufanya maamuzi ya...
  12. J

    JamiiForums Tanzania Je tunakwama wapi mwananzangu?

    Nchi yenye rasilimali chungu mzima ni Tanzania ila ccm wamezifanya kama shamba la bibi kwa kuzitapanya kama wanavyotaka kwa kuingia mikataba ya kifisadi na ya kinyonyaji. ooh nchi yangu yenye madini ya kila aina, maji ya kutosha, ardhi yenye rutuba na n.k ila masikini wa kutupwa. Je tunakwama...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Kigwangala ana nini?

    Wanasimba wenzangu embu tujiuze Kigwangalla ameifanyia nn Simba? Ni kwa nn anajitokeza kipindi tu kunapokuw na msigano baina ya sSimba na mwekezaji Mo? Tusimpe mwanya mtu mwenye chuki zake binafis akatuharibia mwenendo wetu so far Mo kaifikisha simba sehemu ambayo wengine walishindwa badala...
  14. J

    JamiiForums Tanzania Ili kuweza kupata ladha ya kabumbu ligi ya NBC, vitu vifuatavyo lazima vifanyiwe kazi

    ASANTE KWA MWAZO YAKO KIONGOZI NITAKUJA KUTOA UZI WA FINANCE MANAGEMENT AND SPONSORSHIP
  15. J

    JamiiForums Tanzania Ili kuweza kupata ladha ya kabumbu ligi ya NBC, vitu vifuatavyo lazima vifanyiwe kazi

    NDUGU WANAJAMVI ILI KUWEZA KUPATA LADHA YA KABUMBU VITU VIFUATAVYO LAZIMA VIFANYIE KAZI Usajili wa wachezaji bora Benchi la ufundi bora na lililokamilika Maandalizi ya msimu/ pre season Viwanja bora vya kuchezea mpira Vifaa bora na vya kutosha vya kurushia matangazo kutoka kwa mdhamini...
Back
Top Bottom