Recent content by john amon

  1. J

    Nataka kuzamia nje ya nchi, nishaurini wakuu niende nchi ipi?

    Kiongoz Samahani mm nina cheti ya ulinzi ninapass lkn sina connection na tanzania naishi tu lkn natafuta connection yakuondoka huku kiongoz plz niunganishe ninafani kibao kichwan plus cv zake
  2. J

    Serikali yatoa kanuni za Mifuko ya Jamii iliyounganishwa

    Hawa ni wafanyabiashara sio viongoz alaf wanacheza na udhaifu wetu ngoja tukome.tungelikuwa na kaul moja hawa wasingelisubutu.
  3. J

    Waliomteka Mo Dewji walikuwa 'Well Organised, well informed , financially stable and highly committed'…

    Mkumbuke hzo camera sio roboti operator wake ni mtu na kiima cha chini cha mshahara ni laki moja.na nia ya dhati kwl ipo watu wasipotee ipo.
  4. J

    Geita mji wenye pesa

    Madini uyasikie tu kwa rafk yako kufirisika ni kugusa alafu ni kazi ngumu ya kwanza dunia ##
  5. J

    SSRA, PPF, NSSF hawasomeki

    Nchi ya asali na maziwa hii jamani.mm m3 zng nimesamehe najipanga nitafute naul nihame nchi ntakuwa nakuja kama mtalii am tired.
  6. J

    Tutafakari: Uwanja wa taifa ulijengwa kwa bilioni 60, Lakini TAZARA flyover imejengwa kwa bilioni 100

    Ujue upambe ndio unawatesa sana kila mradi wowote wa selikal lazma wanakula cha juu wengine hizi kaz za ujenzi ndio maisha yetu pale yale madaraja ni zege na nondo tu b.100 ni hela nyng sana wafanya kaz pale walikuwa wanalipwa kumi na tatu sema msingi wa nchi hii ni uongo so u cn't move any where.
  7. J

    Wasanii wa Tanzania ni malimbukeni na sitakuja kusaidia hata mmoja!

    Mm jamn niliishangaa et na marehemu mzee majuto nae alitaka tumchangie huko tulokuwa tunamuona kwny majukwaa ya ccm anacheza mziki.
  8. J

    Nina mihogo tangu mwaka jana nimekosa soko, nawaza nisage kuwa unga ndio niuze

    Bangi Bangi hiz ni mbaya sana mita 50 ni nusu ya uwanja mpira kama ulikuwa hujui
  9. J

    Metl Tañzania-Mohamed enteprises Tanzania Limited huajili kiudini,vyeo hupeana kiukoo na huangalia rangi...

    Alafu huwaga najiuliza wanapataje tuzo za wafanyabiashara bora dunian hawajui kama wanalipa mshahara elfu tano kwa siku.
  10. J

    Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

    Sasa Mkuu nipe joint hata ya somalia me niende huko hapa upande wng hal ngum sana
  11. J

    Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

    Mm jaman natafuta zile website za kwenda kuvolunteer yyte anaejua aniunganishe.
  12. J

    Kama una uwezo huu usikimbilie Majuu!

    Ujue uongo mwngi sana humu ulaya ulinganishe na bongo mm binafsi kama nikipata kazi ulaya hata kwa bure nafanya kazi .co huku tupo tu bahati mbaya hmna kitu apa tunadanganywa tu ili ufanikiwe tz lazma ufanye biashara zinazozuiliwa na selikal bila hvo ngum sana.
  13. J

    Ushauri, Maoni na Msaada: Kwa wanaotaka kujilipua nje ya nchi kusaka maisha, kusoma na kuwekeza

    mm nimechoka na hapa natafuta hata sehemu ya kwenda kujitolea bure ila nipewe chakula na malazi tu.kama kuna mtu anaweza niunganisha aniunge.
  14. J

    Naomba kufahamu kuhusu jeshi au kikosi kinachotumia gwanda hizi hapa Tanzanite

    wa mfano huo umati wote ukawafata hapo dakika kumi hautajua huy u ni usalama wala nani.
Back
Top Bottom