totally nonsense. mnafungua lini shule? hadithi nyingine bana! I fail to understand them. kuandika utumbo wote huo huna kazi ya kufanya? shame upon you.
yuko likizo na akiibuka huko anakuja na utata mwingine! huyu jamaa ni mtata Sana na ni vigumu kumuelewa! akili zake zinamtosha mwenyewe. mtu akikuazima hicho kichwa chake hata kwa nusu saa tu ni sawa na kubebeshwa mzigo wa gunia la msumari Kichwani!
Kati ya manunda we ni nunda namba moja.! I am so doubting of your thinking capacity.! mirija ya ufisadi ulokuwa unafaidika nayo ilokufanya uandike pumba kama hii hadithi yako tunaikata sasa.! utalia Sana ndorobo wa kijani wewe! miaka 50 mnajivunia nini mlichofanya lofa mkubwa wewe.? shame upon you..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.