Huyu alikuwa mbunge mwenye utata sana,alihama chadema NA kuhamia UPDP,hivi Mwaka huh anagombea? Mbona miezi miwili tu kapotea kama barafu iliyodondoka jangwani?
Ni katibu mkuu TADEA. Jana alizindua kampeni za ubunge kutetea nafasi yake jimboni maswa.
Ni katibu mkuu TADEA. Jana alizindua kampeni za ubunge kutetea nafasi yake jimboni maswa.
.....uKO SERIOUS???!!??
Huyu alikuwa mbunge mwenye utata sana,alihama chadema NA kuhamia UPDP,hivi Mwaka huh anagombea? Mbona miezi miwili tu kapotea kama barafu iliyodondoka jangwani?
.....uKO SERIOUS???!!??
Kwatozakuku hebu acha kuchekesha walionuna. ...Ni katibu mkuu TADEA. Jana alizindua kampeni za ubunge kutetea nafasi yake jimboni maswa.
.....uKO SERIOUS???!!??