Pole mkuu, unataka but at the same time unaweka misimamo ambayo sio njia ya kupata unachotaka. Ukitaka kuwa mwanasiasa kubali kuwa mnafiki, kusujudu, na kujitoa ufaham. Hakuna intergrity kwenye siasa.
Nahisi watu hutenda maovu kwa sababu wanajua watasamehewa, ingetakiwa kusiwe na msamaha kwenye makosa ya makusudi, ingepunguza watu kutenda makosa, mtu anapofanya makosa afu anaenda kutubu ni kama kejeli kwa mtoa msamaha
kwani anwani ya makazi haina sheria,kanuni,taratibu na muongozo? kama ndo zinasema hivo basi kosa lipo kwa watunga sheria but kama hamna regulation ya hili zoezi then it is very absurd to implement public projects without regualation, watu wataweka hata majina ya michepuko yao
PM alivokuwa anaongea ilikuwa kama kuna ushahidi wa wazi wa kulipa fedha ya serikali kwenye a/c binafsi ambazo ni za watumishi wa ofisi yake, kama mahakamani hawatampata na kosa, basi kuna mawili - Pm kafanya yake kama kawa au mahakama inachezewa kupindisha hukumu, all in all is corruption in...
Du, hicho ndo kipimo cha upendo? Nikisema ni umaskini uliopitiliza na watu kushindwa kujitegemea je?
Uhakika ni kuwa hamna binadamu anapenda kubanwa banwa, kila mtu angependa awe huru na kukutana iwe kwa ajili maalum au socilization
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.