Recent content by johf1981

  1. johf1981

    JamiiForums Tanzania Uke kuziba wakati wa kusex

    Mjomba fanya maandalizi ya kutosha,kuwa gentle and do it smoothly, Jaribu kuztafuta hisia zake atakubali mwenyewe kutoa mzigo, angekuwa sababu ni dini asingekuja kabisa faraghani,kiukweli mtoto yuko tayari ila we bado hujawa na mbinu nzuri za kumuweka sawa,tundu haliwezi kuziba kama yeye sio bikra
  2. johf1981

    JamiiForums Tanzania Uke kuziba wakati wa kusex

    Ha ha ha haa
  3. johf1981

    JamiiForums Tanzania Msaada wana jamvi, mgongo unaniuma

    Jamani nashukuru sana kwa ushauri mzuri,bas ntajitahid kwenda hospital haraka kabla mambo hayajawa mabaya zaid
  4. johf1981

    JamiiForums Tanzania Msaada wana jamvi, mgongo unaniuma

    Ndugu zangu, Kuna tatizo mimi limenipata juzi, wakati najaribu kuinua mzigo dukani hivi kutoka chini kama wa kilo 15 hivi, nikasikia kitu mgongoni kama kimechoma hivi, basi tangu hapo mgongo unauma balaa hasa nikisimama wima kutoka kuinama, au nikiinama au kuchuchumaa. Wakati mwingine nashindwa...
  5. johf1981

    JamiiForums Tanzania Presha ya kushuka

    Ok asante sana ka ushauri
  6. johf1981

    JamiiForums Tanzania Presha ya kushuka

    Msaada jamani mke wng ameanza kusumbuliwa na tatizo la presha ya kushuka takriban wiki ya tatu sasa,Mara nyingi uhisi kichwa kuuma sana,hivyo alishauriwa awe anakunywa coca cola au kahawa,na yeye anasema kdg huwa zinamsaidia. Je,hakuna dawa ambayo anaweza akatumia ili kupata solution ya kudumu...
  7. johf1981

    JamiiForums Tanzania Mrejesho kutoka kwa waliowahi kutumia dawa za nguvu za kiume

    Dah hapo umeniacha kwny mataa mkuu
  8. johf1981

    JamiiForums Tanzania Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Dogo unazingua
  9. johf1981

    JamiiForums Tanzania Tuwe na taratibu ya kunywa dawa za minyoo kila baada ya miezi 3

    Ni kweli kabisa mkuu
  10. johf1981

    JamiiForums Tanzania Cyber security

    Mmmmh
  11. johf1981

    JamiiForums Tanzania Nauza smartphone kwa atakayehitaji

    Ukisoma vzr,bei nmeandika laki na thelathini mkuu
  12. johf1981

    JamiiForums Tanzania Nauza smartphone kwa atakayehitaji

    We ukihitaji kuiona sema tu mzee,ntakutafuta mi Niko dar
  13. johf1981

    JamiiForums Tanzania Nauza smartphone kwa atakayehitaji

    Ni techno l8,bado mpya kabisa bei laki moja na elfu thelathini, Sifa zake ni km ifuatavyo: General Information 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 900 / 2100 4G Network No SIM Dual mini SIM Status Available April 2016 Body Dimensions 154 x 77.5 x 8.85 mm, 135 grams Keyboard...
Back
Top Bottom