Amna, mbona German na Iran cases zao zinakaribia kufanana, lkn idad ya vifo ni tofauti kabixa?
Itakuwa labda ni namna wagonjwa wanavyohudumiwa ndo maana idadi ya vifo zinatofautiana, pia wagonjwa wengi ni wa umri gani?
Kama ni wazee wengi na vifo mtegemee zitakuwa vingi.
Huo mtambo sio wa kuzuia risasi jomba, ni wa kuzuia missles..
Vita vya sasa iv sio vya ana kwa ana.
Kuna mtambo mwingine unaitwa auxilary guns, huu nao ni wa kuzuia small missles zinazotumwa kwenye meli za kivita..
Nadhani huo mpya utakuwa umeboreshwa zaidi..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.