Recent content by Joh Mandawe

  1. J

    JamiiForums Tanzania Ni kwanini wanawake wa kizazi hiki ndiyo wanamaumbo ya namna hii?

    Wanawake wamegawanyika mzee,kuna wanawake wa kuolewa na wengine ni wakutumika tuu ndo maana ukilazimisha kuoa mwanamke waivyo aufiki mbali kimaisha utaishia kujuta tu basi
  2. J

    JamiiForums Tanzania Nina shida na picha za jini/shetani

    Hahahaahaa
  3. J

    JamiiForums Tanzania Mtukufu Rais bora tu angeandika R.I.P

    Tatizo ukawa sana,hio nilugha tu wewe mtoa habari kukosea kupo tu mbona marais wengi hawajui kabisa hio lugha na wananchi wao hawafatilii iweje Ww kutafuta makosa ya mtu,mh.Magufuri pia ni mtu siokwamba yy anajua kila kitu,tumuone kama mtu pia ambae anamadhaifu yake yy sio malaika kama...
  4. J

    JamiiForums Tanzania Arusha: Yaliyojiri kutoka mahakamani Arusha, dhamana ya Mbunge Lema yashindikana

    Kila siku LEMA tu,kama anamakosa bora afungwe tuu,kwani tumechoka kila siku yeyetuu
  5. J

    JamiiForums Tanzania Nina shida na picha za jini/shetani

    Poa,lakn mambo ya kishetan ni mambo ya kiroho(spiritual things) ni vtu hauwezi vpga picha kama unavyotaka
  6. J

    JamiiForums Tanzania Nina shida na picha za jini/shetani

    Picha ya shetani hata wemwenyewe unaweza ukawa shetani tu,vile unavyoishi na watu vile ndo picha ya shetani unaweza unaweza ukaiona hasa kwa matendo maovu
  7. J

    JamiiForums Tanzania Kwa waliowahi kuwa waseminari

    Usikalili kua akina mangi wote ni mabaili wengine wanajiachia tuu,sio wote wakiacha useminali wanakua na tabia sawa,pia walio acha na kufukuzwa wote wanasababu zao
Back
Top Bottom