watu wengine mnamatatizo sana,kaa kimya kama ujui unataka kufanya nini.
siyo lazma ucomment kila unachokiona ukikaa kimya hamna mtu atajua kama wewe ni kiazi(bashite) kiasi gani
Haiwezekani,mwenyew natamia iphone 4s ila Id cyo yangu ni ya mtu tena yupo china ila alinipa na password ubaya wake aki download kitu yeye adi kwenye cm yngu kinakuwepo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.