Nakumbuka hata yule mfanyakazi wa Azam mke wake alimshauri aoe mke wa pili Kwa kuwa yeye yuko busy sana na kazi. Lkn ukweli wa mke ulikuwa moyoni mwake. Sote ni mashahid wa yaliyojiri,mke saivi ni mke wa kigogo. Ishi kimasta.
Jukumu la serikali ni kuhakikisha ulinzi wa raia na mali zao,na kuhakikisha sheria zinafuatwa. Sheria zinakataza ponzi scheme. Ujinga wa raia hauondoi jukumu hilo
Kumeibuka utapeli mwingine hivi karibu wa upatu (ponzi scheme) ijulikanayo kama LBL ambako wananchi wengi wanaweka fedha zao ili kuvuna. Huu ni mwendelezo wa yale yaliyotokea awali kama Deci, QNet, ClubD9, Kalinda na Kuku.
Kabla wananchi wengi hawajawa wahanga wa uhalifu,tunaviomba vyombo vya...
Unafututa marafik uliopotezana nao zaidi ya miaka kumi ili iweje?
Kipindi Cha miaka 10 mtu alishakuwa na mitizamo na uzoefu tofauti,hata mkikutana mara nyingi hamna jambo la kawaida la kuwaangunisha tena.
Mwisho wa siku mnaishia kutapeliwa!
Yes Zambia ni kweli kuna utulivu usion wa kawaida,nakumbuka wakati flani nikiwa na rafiki yangu tulifikia Taji Pamodzi Hotel-Lusaka.
Rafiki yangu alinnua kahaba,na usiku huo alikunywa pia pombe kupitiliza. Wakati wa kutoka asubuhi nampigia simu hapokei,kwenda chumbani na kugonga nkakuta yule...
Tufanye kazi kwa bidii,tuachane na haya.
Yangekuwa yanatuhusu tungeandikiwa kwa lugha tunayoelewa. Hao heads of recruiting, logistics na finance hawatusaidii kwa Sasa hata tukiwajua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.