Huwezi kutaka nchi yako iwekewe vikwazo wakati una ndugu , wazazi na wale ambao unategemea wakupe kura uwaongoze leo unataka wapate shida wewe hufai hata kukuishi maana damu ya watu itakulilia sana , wewe unashiba na kusaza unataka watanzania wateseke na ulaaniwe.
Sheria zipo na zipo kwa wote kama mtu kafanya kosa basi sheria ifuate mkondo , maana sio kila mtuanamjua huyp Mbowe kiundani zaidi anaweza kuwa mwanasiasa lakini akawa mtenda maovu maana sio malaika, tuvute subira ukweli utatamalaki.
Wanataka uwaunge mkono kwa fedha walizochotewa na mabeberu waje walete vurugu wakiwa wameshiba na familia zao , sie hata mia hatuna . Watuache tuhangaike na maisha yetu kila mtu ale kwa jasho lake.
Hapa hakuna siasa ni kujustfy fedha walizopewa ili wasipatwe kuulizwa.Kila mtu apambane na hali yake.
Wewe sio Mwanasheria muongo Idadi ya watu ilikuwa ndogo ni vipi usiwatambue watu wakiwa dukani alafu badaye uwatambue kama sio ushahidi wakufundishwa ni nini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.