Meshe
JF-Expert Member
- Nov 14, 2011
- 375
- 470
Watanzania watawaliwa kila tukipata chama shindani na CCM ni wajibu wetu kukiimarisha kwa faida yetu. Watawala wanafurahi na wanatelax kama hakua chama imara cha upinzani.
NCCR MAGEUZI ilipoanza kuibuka watanzania tukarubuniwa tukaiacha ikapotea. CUF vile vile.
Sasa hivi CHADEMAkimeanza kuwa chama makini shindani sasa hivi tunaruhusu kinapotezwa mbele ya macho yetu. Watawala wanafurahia hawatadumbuliwa.
Nchi na wananchi watafaidi kama tututakuwa na vyama mbadala imara haijalishi majina ya vyama.
Bunge letu sasa hivi ni kamalachama kimoja. Hoja za watawala zinateleza tu hakuna wa kuhoji.
Tozo zinapitishwa bungeni sasa huku mitaani baadhi ya wabunge nao wanashangaa.
Bunge lachama kimoja nimaumivu kwanchi na watawaliwa na ni furaha watawala!!Watanzania tuamke kwa umoja wetu tutengeneza vyama wakau giwili vyenye nguvu na uwezo wa kuongoza nchi.
Haijalishi chama gani kiwe madarakani iwe CCM, CHADEMA, ATC au chenginecho, uimara wa chama mbadala ni muhimu sana.
Ushabiki wa kisiasa unaofanana na wa Simba na Yanga utatuchelewesha sana!!
NCCR MAGEUZI ilipoanza kuibuka watanzania tukarubuniwa tukaiacha ikapotea. CUF vile vile.
Sasa hivi CHADEMAkimeanza kuwa chama makini shindani sasa hivi tunaruhusu kinapotezwa mbele ya macho yetu. Watawala wanafurahia hawatadumbuliwa.
Nchi na wananchi watafaidi kama tututakuwa na vyama mbadala imara haijalishi majina ya vyama.
Bunge letu sasa hivi ni kamalachama kimoja. Hoja za watawala zinateleza tu hakuna wa kuhoji.
Tozo zinapitishwa bungeni sasa huku mitaani baadhi ya wabunge nao wanashangaa.
Bunge lachama kimoja nimaumivu kwanchi na watawaliwa na ni furaha watawala!!Watanzania tuamke kwa umoja wetu tutengeneza vyama wakau giwili vyenye nguvu na uwezo wa kuongoza nchi.
Haijalishi chama gani kiwe madarakani iwe CCM, CHADEMA, ATC au chenginecho, uimara wa chama mbadala ni muhimu sana.
Ushabiki wa kisiasa unaofanana na wa Simba na Yanga utatuchelewesha sana!!